TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,201
AUGUSTINO LYATONGA MREMA
Sikuwa na njia ya kumpinga mgombea wa CCM aliyepitishwa na ngazi zote zinazotakiwa na chama, hata kama hafai. Ukimpinga watauliza; huyu Mrema vipi, labda zi mwenzetu. Mtu kama Kitwana Kondo kwangu mimi kama Mrema, Kitwana Kondo hafai kuwa diwani wa Kariakoo. Lakini mimi Mrema, kama CCM, Kitwana Kondo anafaa kuwa diwani wa Kariakoo