magessa78
JF-Expert Member
- Sep 28, 2009
- 270
- 31
Jana saa 2 usiku taarifa ya habari tb-ccm1 nimeshangazwa na kauli ya mtangazaji wa kituo hicho akitoa kejeli akifananisha mizinga 21 iliyokuwa inapigwa uwanja wa ndege ktk ziara ya rais wa somalia, na mabomu yaliyolindima gongo la mboto yaliyoua watu miezi mitatu ulopita. Awaombe radhi wana gongo la mboto kwa kejeli hii.