Kauli ya JK Kuipongeza Marekani kufuatia kifo cha Osama yaja?

Ni vizuri ungesoma tulikuwa tunazungumzia nini.. naona umerukia mwishoni.

Na wewe ni vizuri uwe unakumbuka uliandika nini mwanzoni, katikati na mwishoni mwa mijadala!. unataka raisi wa JMT atoe pongezi kwa kuuawa mtuhumiwa!, halafu siku zote unataka utawala wa sheria . Are you serious or you are jumping in the bandwagon!!!!. kwa kuwa wewe unadai ni muumini wa Utawala wa sheria Ningetegemea Umshauri raisi wa JMT atoe tamko la kusikitishwa kwa kuuawa "mtuhumiwa Osama";, wakati uwezo wa kumkamata akiwa hai walikuwa nao, ukizingatia sasa hivi wanatuambia wakati wakimuua alikuwa unarmed. ili ajibu tuhuma za kuhusika na mauaji ya Watanzania hapo mwaka 1998 na haki itendeke kwa Watanzania hao Mahakamani!!
 
Ukweli ni kwamba Kikwete na wengine Tanzania tunafahamu hawapendi kuzungumzia swala la waislamu radicals Tanzania. Huwezi kupambana na terolism bila kuface problem ya radicalization ndani ya uislamu. Waislamu wanatakiwa kujilinda na kulinda familia zao kuhusu hii brainwash ya baadhi ya radicals ndani yao. Kitu kingine ni kwamba Kikwete siku zote tunamwona ni incompetent na atabaki hivyo hivyo. Tunajua jinsi gani huyu Osama alivyo wabrainwash kikundi cha watanzania kulipua Embassy ya Marekani wakati waliokufa ni watanzania na nchi yetu ndio ilioudhulika zaidi. Well thats is kikwete as usual lets not discuss this man for all poor work and damages he had done. Tunasubir maandamano ya shehe Kupinga kifo cha Osama.

5.JPG


1_flames_running.jpg


BushTanzEmb.jpg


879_embassy_wanted_poster_2050081722-14918.jpg
 
Na wewe ni vizuri uwe unakumbuka uliandika nini mwanzoni, katikati na mwishoni mwa mijadala!. unataka raisi wa JMT atoe pongezi kwa kuuawa mtuhumiwa!, halafu siku zote unataka utawala wa sheria . Are you serious or you are jumping in the bandwagon!!!!. kwa kuwa wewe unadai ni muumini wa Utawala wa sheria Ningetegemea Umshauri raisi wa JMT atoe tamko la kusikitishwa kwa kuuawa "mtuhumiwa Osama";, wakati uwezo wa kumkamata akiwa hai walikuwa nao, ukizingatia sasa hivi wanatuambia wakati wakimuua alikuwa unarmed. ili ajibu tuhuma za kuhusika na mauaji ya Watanzania hapo mwaka 1998 na haki itendeke kwa Watanzania hao Mahakamani!!

Nani alikuambia utawala wa sheria ni kwenda mahakamani tu? Nchi zina namna nyingi za kisheria za kushughulikia wahalifu. Siyo wahalifu wote wanaweza kukamatwa na kwa hakika Osama Bin Laden hakuwa katika mazingira ya kutaka kukamatwa. Wale Seals walipewa order ya kisheria ya kumleta Osama akiwa hai au amekufa na to tell you the truth kwa Wamarekani the option ya kuwa amekufa was better to them.

Ndio maana hoja yangu hapo nyuma kwa wale wanaotaka ati SEAL wamkamate na kumfikisha mahakamani nimewauliza kama yeye Osama alitaka hiyo option kwanini asijisalimishe mwenyewe miaka kumi iliyopita na kudai kuwa hakuwa na hatia? Kama alitaka kupata hiyo nafasi ya kujitetea kwanini hakujitokeza kwenye mojawapo ya videos zake na kudai wanamsingizia. Hakuna mahali hata pamoja ambapo OBL alidai kutohusika na mambo anayodaiwa. Na linapokuja suala la Twin Towers alisema mwenyewe kwenye video akikiri kuwa ndiye mhusika aliyeamuru tukio lile.

Kwamba angekamatwa kupelekwa mahakamani lingekuwa jambo zuri lakini jambo zuri kwa nani? Definitely siyo kwa Wamarekani. Kwa wengine wote ambao wangetaka apatiwe nafasi kama ya Zakaria Mousawi. Kinachoshangaza hawa wanaotaka "mtuhumiwa osama" ati angepewa nafasi ya kufikishwa mahakamani hawakuonesha interests hiyo wakati yeye Osama alipopitisha hukumu ya Wamarekani wote na kuwahukumu kifo!

Osama presented a clear and constant danger siyo kwa Wamarekani wote bali kwa dunia nzima. Mahakamani au pingu isingekuwa kumtendea haki.
 
Kama taifa tunajivunia utawala wa sheria na kwa hili sidhani kama it was right kuunga mkono U.S Govt kwenye hii unlawful killing of Osama Bin Laden.

Kwa kuanza tuu ni kuwa the information that Obama used to locate Osama was obtained illegally, according to Obama, through waterboarding ambayo Im sure no one here would agree upon. In a court of law, Obama would probably be censured at the very least and Osama would be released from any custody.


Just because Americans did it does not mean kuwa its right. InfactThe theoretical restraint on extra-judicial murder/execution is in theory based on international law ambayo sisi kama taifa tumetia saini sasa iweje leo tukawafuata hawa jamaa blindly kuunga mkono uhuni kama aliyofanyiwa Osama

Binafsi niko tayari ku engage with anyone on this kwa sababu naamini strict adherence to international law is of the utmost critical importance and is what separates us from the animals, including freepers.

Tusiwe na Slave mentality na inferiority complex za kufikiri kuwa everything Americans does are right

Any if anyone anayo counter argument to mine azilete
 
Osama presented a clear and constant danger siyo kwa Wamarekani wote bali kwa dunia nzima. Mahakamani au pingu isingekuwa kumtendea haki.

Tumeambiwa hivyo sana lakini baadae ikagundulika ni uwongo! -Tumeambiwa Saddam alikuwa na silaha za maangamizi za kuweza kulipua within 45 minutes lakini hola!

-Clinton alilipua kiwanda Cha Aspirin Sudan akadai kina intelligence imeonyesha kwamba kina linki na Osama kwa baadae ikajulikana kwamba ilikuwa ni civilian entity tu.

-ulipuaji wa meli ya Marekani iitwayo lusitania na wamarekani wenyewe na kisha kuisingizia Ujerumani ili wamarekani waweze kuingia katika vita vya kwanza vya dunia upande wa waingereza

vitu kama hivyo ndo vinatufanya tutake watuhumiwa wafikishwe mahakamani na ushahidi ili kweli wao wajitendee haki, na pia wawatendee haki watuhumiwa, kwa sababu mahakamani ndo ushahidi woote utakuwa proved!.

na kwa issue ya tape au video, bill clinton alisema, " i never have sex with that woman, did it turn so ?"
besides kama osama ni mhusika mkuu wa ugaidi, si ana information muhimu sana za kuweza kusaidia kuisambaratisha Al-qaeda wanaotuhumiwa kuuwa watu wengi duniani wakiwemo watanzania, je si ingekuwa ni vyema angekamatwa hai ili aweze kutoa information za kiintelligensia ili kuwaepusha watu na mashambulizi mengine ya Al-Qaeda?, kwa mantiki hii naona si busara kwa raisi wa JMT kupongeza kuuawa kwake
 
Kama taifa tunajivunia utawala wa sheria na kwa hili sidhani kama it was right kuunga mkono U.S Govt kwenye hii unlawful killing of Osama Bin Laden.

Kwa kuanza tuu ni kuwa the information that Obama used to locate Osama was obtained illegally, according to Obama, through waterboarding ambayo Im sure no one here would agree upon. In a court of law, Obama would probably be censured at the very least and Osama would be released from any custody.


Just because Americans did it does not mean kuwa its right. InfactThe theoretical restraint on extra-judicial murder/execution is in theory based on international law ambayo sisi kama taifa tumetia saini sasa iweje leo tukawafuata hawa jamaa blindly kuunga mkono uhuni kama aliyofanyiwa Osama

Binafsi niko tayari ku engage with anyone on this kwa sababu naamini strict adherence to international law is of the utmost critical importance and is what separates us from the animals, including freepers.

Tusiwe na Slave mentality na inferiority complex za kufikiri kuwa everything Americans does are right

Any if anyone anayo counter argument to mine azilete


Real Politik 101: Means justify the ends.

The sooner you accept this fact of life and deal with it, the more effective person you will become.


On another hand, hivi unategemea kingetokea nini kama OBL angekamatwa na kupelekwa Marekani kujibu mashtaka? Al Qaeda wangeteka ndege ngapi na kuuwa watu wangapi ili aachiwe huru. Si ajabu hata ndege utayopanda wewe mwenyewe ingetekwa na kutumika kama missile.
 
Real Politik 101: Means justify the ends.

The sooner you accept this fact of life and deal with it, the more effective person you will become.


On another hand, hivi unategemea kingetokea nini kama OBL angekamatwa na kupelekwa Marekani kujibu mashtaka? Al Qaeda wangeteka ndege ngapi na kuuwa watu wangapi ili aachiwe huru. Si ajabu hata ndege utayopanda wewe mwenyewe ingetekwa na kutumika kama missile.


You haven't come up with convincing legal arguments to counter mine


btw


The information that Obama used to locate Osama was obtained illegally, according to Obama, through waterboarding.

In a court of law, Obama would probably be censured at the very least and Osama would be released from any custody
 
You haven't come up with convincing legal arguments to counter mine


btw


The information that Obama used to locate Osama was obtained illegally, according to Obama, through waterboarding.

In a court of law, Obama would probably be censured at the very least and Osama would be released from any custody

Kwanini unafikiria hii ilikuwa ni "legal operation"?
 
Nani alikuambia utawala wa sheria ni kwenda mahakamani tu? Nchi zina namna nyingi za kisheria za kushughulikia wahalifu. Siyo wahalifu wote wanaweza kukamatwa na kwa hakika Osama Bin Laden hakuwa katika mazingira ya kutaka kukamatwa. Wale Seals walipewa order ya kisheria ya kumleta Osama akiwa hai au amekufa na to tell you the truth kwa Wamarekani the option ya kuwa amekufa was better to them.

Ndio maana hoja yangu hapo nyuma kwa wale wanaotaka ati SEAL wamkamate na kumfikisha mahakamani nimewauliza kama yeye Osama alitaka hiyo option kwanini asijisalimishe mwenyewe miaka kumi iliyopita na kudai kuwa hakuwa na hatia? Kama alitaka kupata hiyo nafasi ya kujitetea kwanini hakujitokeza kwenye mojawapo ya videos zake na kudai wanamsingizia. Hakuna mahali hata pamoja ambapo OBL alidai kutohusika na mambo anayodaiwa. Na linapokuja suala la Twin Towers alisema mwenyewe kwenye video akikiri kuwa ndiye mhusika aliyeamuru tukio lile.

Kwamba angekamatwa kupelekwa mahakamani lingekuwa jambo zuri lakini jambo zuri kwa nani? Definitely siyo kwa Wamarekani. Kwa wengine wote ambao wangetaka apatiwe nafasi kama ya Zakaria Mousawi. Kinachoshangaza hawa wanaotaka "mtuhumiwa osama" ati angepewa nafasi ya kufikishwa mahakamani hawakuonesha interests hiyo wakati yeye Osama alipopitisha hukumu ya Wamarekani wote na kuwahukumu kifo!

Osama presented a clear and constant danger siyo kwa Wamarekani wote bali kwa dunia nzima. Mahakamani au pingu isingekuwa kumtendea haki.

Umenikumbusha kesi ya wale wazungu wawili waliotumia mbwa kumwingilia dada yetu wa kitanzania! Mbwa akafanya mambo yake, wazungu wakashinda mahakamani! The examples can go on and one that wenye makosa wanaweza wakakwepa hukumu in the name of laws! mafisadi leo hii wanaweza kushinda kesi in the name of laws! and in the name of laws innocent are being victimised!

Tutake tusitake, lets be fair lets be judges on this matter, hukumu gani ilimfaa Osama?

Kuna vitu sheria hazifuatwi, je wanajeshi wanapoenda vitani kuua, wanatumia sheria gani kuua adui!

It was a war, a war of terror and it continues...kwa tulio lishuhudia tukio kwa ukaribu tuliona hali ilivyokuwa, it was terrible, bush alisema the worst evil of human kind!
 
Nadhani swala la "uislamu" pia linachangia Kikwete kukaa kimya - Sehemu kubwa ya waislam (fundametalist) hawajapendezwa na hiki kitendo - and I think Kikwete would not want kuona maandamano ya Sheikh Ponda(s) pale Magomeni

Jamani ukweli lazima usemwe. Kwamba JK na Serikali yake wamekuwa wazito sana kutoa tamko na msimamo wa Tanzania kufuatia kifo cha Gaidi wa Kimataifa-Osama Bin Laden ni jambo la kushangaza!. Ni tofauti kabisa na wenzetu Kenya walivyolipokea tukio hili. Kila mtu anajua kilichotokea tarehe 7/8/1998 kufuatia milipuko ya mabomu kweny Balozi za USA,Dar na Nairobi. Watanzani ndugu zetu walipoteza maisha!!!Kiwete na CCM yake lazima ajue kuwa George W.Bush alikuja akakaa hapa Tanzania siku 4 huku JK akim-entertain. Bush ndiyo mwanzilishi wa Vita dhidi ya Ugaidi na target ni Osama! JK aache unafiki!

Nashindwa kumwelewa JK kuwa na kigugumizi katika hili. Uisar, Uislamu wenyewe UMEHARAMISHA UGAIDI. Nawashangaa sana Waislamu wanaopinga na kulaani MAUAJI YA OSAMA. Huu ni ujuha na ujinga! Sidhani kama Mungu wa Waisalmu al-maarufu ALLAH anafurahia mtu mmoja anapowaua maelfu kwa maelfu dunia kuanzaia Dar,Nairobi, World Trade Centre,Afghanistan,Pakistan na kwingineko.

Mimeshangazwa na kauli za Taliban na baadhi ya Waislamu kudai kuwa Osama yuko hai! Wanakataa kuwa Marekani hawajamuua Osama na kwamba nim mzima bukheri wa Afya! Swali ni Je, wanataka aendelee kuishi ili aendelee kuua watu wasio na hatia??????
 
Umenikumbusha kesi ya wale wazungu wawili waliotumia mbwa kumwingilia dada yetu wa kitanzania! Mbwa akafanya mambo yake, wazungu wakashinda mahakamani! The examples can go on and one that wenye makosa wanaweza wakakwepa hukumu in the name of laws! mafisadi leo hii wanaweza kushinda kesi in the name of laws! and in the name of laws innocent are being victimised!

Tutake tusitake, lets be fair lets be judges on this matter, hukumu gani ilimfaa Osama?

Kuna vitu sheria hazifuatwi, je wanajeshi wanapoenda vitani kuua, wanatumia sheria gani kuua adui!

It was a war, a war of terror and it continues...kwa tulio lishuhudia tukio kwa ukaribu tuliona hali ilivyokuwa, it was terrible, bush alisema the worst evil of human kind!

Very true mkuu...

Ni rahisi sana kuwahukumu wamarekani katika hili as long as you are not a victim, Kibinadamu ni wachache mno kati yetu wanaoweza kukutana uso kwa uso na mtu aliyefanya mauaji ya mpendwa wake halafu asitake naye kummaliza papo hapo...na hii haijalishi kama ni mswahili au mzungu!!
 
Siku hizi yuko makini nafikiri kikombe cha babu kinatibu.

Kikwete: Kifo cha Osama ahueni vita ya ugaidi
(HabariLeo)
RAIS Jakaya Kikwete amesema, ingawa mauaji ya kiongozi wa Mtandao wa kigaidi wa Al- Qaeda, Osama bin Laden si jambo la kufurahia, lakini yametoa ahueni katika vita dhidi ya ugaidi.

"Huwezi kufurahia kifo cha mtu kwa kuwa tumefundishwa kupenda hata maadui zetu, lakini naweza kusema kutakuwa na ahueni," alisema Rais Kikwete.

Akijibu swali juu ya mauaji hayo katika mkutano wa waandishi wa habari uliohusu maazimio ya Tume ya Umoja wa Mataifa ya Habari na Uwajibikaji wa Afya ya Wanawake na Watoto, Dar es Salaam jana, Rais Kikwete alisisitiza kuwa alitarajia Osama akamatwe na kushitakiwa ili haki itendeke.

"Mtu aliyekuwa akitafutwa ili ashitakiwe nimeambiwa hayupo tena ndiyo hivyo," alisema Rais Kikwete.

Alikumbushia kuwa Agosti 7, 1998 Ubalozi wa Marekani nchini ulilipuliwa na Watanzania 11 wakauawa na siku hiyo hiyo karibu muda sawa, Ubalozi wa Marekani nchini Kenya nao ulilipuliwa.

Kutokana na milipuko hiyo, Tanzania ilianzisha uchunguzi ambao Rais Kikwete alisema baadhi ya watu walihisiwa kuhusika, lakini mshukiwa mkuu alikuwa Osama.

Katika uchunguzi huo kwa mujibu wa Rais Kikwete, mmoja wa watuhumiwa ambaye ni Mtanzania, alikamatwa nchini Pakistani na kufungwa katika Gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba.

Baadaye Mtanzania huyo, Mohamed Ghailani, alifikishwa mahakamani nchini Marekani ambako Rais Kikwete alisema haki ilitendeka.

Jumatatu , Rais Barack Obama wa Marekani alitangaza kifo cha Osama, ikiwa ni takribani miaka 10 baada ya shambulizi la ugaidi lilitokea Septemba 11, mwaka huu Marekani na kuua zaidi ya watu 3,000.

Kutokana na taarifa hiyo ya kushtukiza viongozi mbalimbali duniani wamempongeza Obama kwa ushindi na kifo cha kiongozi huyo na kuuita ushindi huo kuwa ni wa kihistoria.

Katika hotuba yake aliyoitoa juzi usiku, Obama alisema katika operesheni iliyofanywa na Marekani wamemuua kiongozi huyo wa al-Qeda nchini Pakistan na kuuweka mwili wake chini ya ulinzi.

Mapema Jumapili Marekani ilizindua operesheni yake dhidi katika eneo la Abbottabad nje ya mji mkuu wa Pakistan, Islamabad na baadaye kuthibitisha kuwa Osama ni mmoja kati ya magaidi waliokufa katika mapigano hayo, alisema Obama.

Vyanzo vya habari vya Pakistan vimethibitisha kutokea kwa kifo hicho cha Osama, hali ambayo Obama ameiita ni moja kati ya mafanikio makubwa ya Marekani na kwamba muda mfupi baada ya kuwa Rais mwaka 2009, alimtaka Mkurugenzi wa Shirika la Upelelezi nchini humo kuweka suala la kukamatwa ama kuuawa kwa Osama kipaumbele.

Alisema Marekani ilipata taarifa za kumfuatilia Osama tangu Agosti mwaka jana na kufanya tathmini ambapo walibaini kuwa alikuwa amejificha ndani ya Pakistan na kwamba kwa kushirikiana na Pakistan wamemuua kiongozi huyo pamoja na mtoto wake wa kiume, mwanamke mmoja na wafuasi wake watatu.

Aidha, katika operesheni hiyo iliyohusisha helikopta nne na kuchukua takribani saa mbili, watu 12 wakiwemo watoto sita, wanawake wake wa Osama wawili na marafiki zake wanne wa karibu wamekamatwa.

Osama ambaye alizaliwa nchini Saudi Arabia mwaka 1957, amekuwa akifahamika kama kiongozi wa kundi la ugaidi duniani kote na kuhusishwa na matukio mbalimbali ya mashambulizi nchini Marekani likiwamo la Septemba 11, 2001.

Kwa mujibu wa Ofisa Mwandamizi wa Marekani mwili wa Osama umezikwa baharini kwa kufuata sheria na taratibu zote za Kiislamu.

"Hili ni jambo tunalolipa kipaumbele na ndio maana tumefuata taratibu zote," alisema.

Muda mfupi baada ya kutangazwa kifo cha Osama, Msemaji wa kundi la Taliban nchini Pakistan lilikanusha taarifa hizo na kudai kuwa bado Osama yuko hai.

Kwa hiyo hakutoa kauli rasmi bali aliwajibu waandishi......wasingemuuliza angekaa kimya....ona ya Kibaki:


Kibaki, Raila praises USA for killing Osama

Tuesday, 03 May 2011 00:02 BY FRANCIS MUREITHI


PRESIDENT Kibaki and Prime Minister Raila Odinga yesterday hailed the killing by the US of al Qaeda leader Osama bin Laden. They said justice had been done to the victims of terrorism.Kibaki said the killing of Osama was an "act of justice" to Kenyans who had fallen victims of terrorism while Raila said the killing was a "positive step". "On behalf of the Government and people of the Republic of Kenya I commend all those people behind the successful tracking down and killing of Osama bin Laden," said Kibaki.

Kibaki noted that the killing of Osama took place nearly thirteen years after the terrorist bombings in Nairobi that claimed the lives of 261 Kenyans. He said the bombing was masterminded by Osama. "His killing is an act of justice to those Kenyans who lost their lives and the many more who suffered injuries," said Kibaki in a statement. Raila hailed the news of the death of Osama but said more must be done to bring stability to neighbouring Somalia where al Qaeda-linked fighters are waging an insurgency.

Al Qaeda carried out simultaneous suicide bomb attacks on US embassies in Kenya and Tanzania in 1998, killing hundreds of people. "Kenyans are happy and thank the US people, the Pakistani people and everybody else involved in the killing of Osama," Raila said. He said many Kenyans still lived with physical and mental scars from the 1998 bomb attack. "Osama's death can only be positive for Kenya, but we need to have a stable government in Somalia," Odinga said. "The loss of its leader may first upset the movement but then it will regroup and continue, he added."In 2002, a regional al Qaeda cell bombed a hotel on Kenya's Indian Ocean coast and attempted moments later to shoot down an Israeli passenger jet taking off from Mombasa's Moi International Airport. Washington has said militants waging an insurgency in Somalia are al Qaeda's proxies in the region.
Somalia's al Shabaab rebels claimed responsibility for a twin suicide bomb attack in Uganda last year and have also threatened to strike Kenya.
 
Kama taifa tunajivunia utawala wa sheria na kwa hili sidhani kama it was right kuunga mkono U.S Govt kwenye hii unlawful killing of Osama Bin Laden.

Kwa kuanza tuu ni kuwa the information that Obama used to locate Osama was obtained illegally, according to Obama, through waterboarding ambayo Im sure no one here would agree upon. In a court of law, Obama would probably be censured at the very least and Osama would be released from any custody.


Just because Americans did it does not mean kuwa its right. InfactThe theoretical restraint on extra-judicial murder/execution is in theory based on international law ambayo sisi kama taifa tumetia saini sasa iweje leo tukawafuata hawa jamaa blindly kuunga mkono uhuni kama aliyofanyiwa Osama

Binafsi niko tayari ku engage with anyone on this kwa sababu naamini strict adherence to international law is of the utmost critical importance and is what separates us from the animals, including freepers.

Tusiwe na Slave mentality na inferiority complex za kufikiri kuwa everything Americans does are right

Any if anyone anayo counter argument to mine azilete

SlidingRoof,

You sound like one of Osama Bin Laden's right henchmen! You are totally wrong my friend.
There is no way you can defend the Killing of Osama Bin Laden,the International Terrorist who killed thousands including your fellow Tanzanians in August,1998.

Haiwezekani umtetee Osama kwa madai kuwa sisi kama Tanzania tume-sign mkataba wa sheria ya Kulinda uhai wa mtu. Hii sheria haiwezi kuwa applicable kwa mtu kama Osama. Huwezi kuvunja sheria hiyohiyo kwa KUWAUA WENGINE halafu udai the same LAW to spare your life. Never my dear! Who killed by the sword shall surely die by the sword, who killed by the bullet shall surely die by the bullet,same to the suicider bombers,etc.

The theoretical restraint on extra-judicial murder/execution is truly based on international law and it shall only appliies to those who obeys the same law. It's absurdity,inept and nonsense for someone claiming for the law to protect he/she while breaking the same law. There is no justification, not at all. Wewe unauwa wenzako kwa kuwalipua na mabomu,halafu ukibanwa na kukamatwa unasema wasikuue! Pambaf kabisa. Ina maana uliowaua walikuwa kuku au sisimizi???!!

Kusema kuwa sisi kama taifa tumetia saini sharia hiyo ati sasa iweje leo tukawafuata hawa jamaa blindly kuunga mkono uhuni kama aliyofanyiwa Osama ni upuuzi. Kumbuka kwamba Osama ni raia wa SAUDI ARABIA. Lakini haohao Saudia waliukana uraia wa huyu Osama Bin Laden na ndiyo maana hata alivyouawa juzi serikali ya USA walitaka waupeleke mwili wa Osama Saudia lakini serikali ya Saudia IKAKATAA kata kata!!!They were right! Kwanini wapokee mwili wa GAIDI???

Sasa kama Nchi ya SUADI ARABIA ambayo ni nchi yake OSAMA imemkataa, iweje wewe kama MTANZANIA UNAMTETEAJE OSAMA BIN LADEN??????Je, mlitaka aje azikwe Tanzania??

Waislamu wakereketwa amkeni muondoe tongotongo machoni na muache ushabiki wa kijinga!
 
MMKJJ, tuko kwenye frequency moja.

Tanzania ilipaswa kuwa mstari wa mbele kumsaka osama na pale alipouwawa, ingepaswa kuwa nchi ya kwanza kabisa kushangilia. Watu wengi hawaelewi, lakini Tanzania ilionja adha ya osama hata kabla ya marekani.

Kuuawa kwa Osama, mimi nadhani haitakiwi kushangilia wala kulaani tukae kimya tuu, nadhani hii itaingiza rasmi Tanzania kwenye mabifu na hawa watu, hivi unajua baada ya haya mauaji wanategemea kufanya nini? hasa ukizingatia katika imani yao wanaamini kuawa kwa mtu aliye karibu na adui yao kunawapeleka peponi. Kilichotupata katika barozi za marekani ni kikubwa sana hasa ukizingatia tulipoteza roho za wapendwa wetu ambazo hata tukiwateketeza Magaidi wote lile pengo halitazibika. Ni mtazamo tuu.
 
Nani alikuambia utawala wa sheria ni kwenda mahakamani tu? Nchi zina namna nyingi za kisheria za kushughulikia wahalifu. Siyo wahalifu wote wanaweza kukamatwa na kwa hakika Osama Bin Laden hakuwa katika mazingira ya kutaka kukamatwa. Wale Seals walipewa order ya kisheria ya kumleta Osama akiwa hai au amekufa na to tell you the truth kwa Wamarekani the option ya kuwa amekufa was better to them.

Ndio maana hoja yangu hapo nyuma kwa wale wanaotaka ati SEAL wamkamate na kumfikisha mahakamani nimewauliza kama yeye Osama alitaka hiyo option kwanini asijisalimishe mwenyewe miaka kumi iliyopita na kudai kuwa hakuwa na hatia? Kama alitaka kupata hiyo nafasi ya kujitetea kwanini hakujitokeza kwenye mojawapo ya videos zake na kudai wanamsingizia. Hakuna mahali hata pamoja ambapo OBL alidai kutohusika na mambo anayodaiwa. Na linapokuja suala la Twin Towers alisema mwenyewe kwenye video akikiri kuwa ndiye mhusika aliyeamuru tukio lile.

Kwamba angekamatwa kupelekwa mahakamani lingekuwa jambo zuri lakini jambo zuri kwa nani? Definitely siyo kwa Wamarekani. Kwa wengine wote ambao wangetaka apatiwe nafasi kama ya Zakaria Mousawi. Kinachoshangaza hawa wanaotaka "mtuhumiwa osama" ati angepewa nafasi ya kufikishwa mahakamani hawakuonesha interests hiyo wakati yeye Osama alipopitisha hukumu ya Wamarekani wote na kuwahukumu kifo!

Osama presented a clear and constant danger siyo kwa Wamarekani wote bali kwa dunia nzima. Mahakamani au pingu isingekuwa kumtendea haki.

Utawala wa sheria hauna maana kufikisha mtu mahakamani tu, hiyo ni sehemu yake. Utawala wa sheria una maana pana zaidi. Tanzania rais anaweza kutengua adhabu ya kifo iliyotolewa na jaji wa mahakama, je hapo amevunja utawala wa sheria? Ni rais wetu amesamehe wezi hadi wakastaafu na kulipwa haki zao bila kufikishwa mahakamani, je hapo ni utawala wa sheria? Ukweli unabaki pale pale ni utawala wa sheria kwasababu ndivyo ilivyo katika katiba yetu. Utaratibu huu si kwa nchi zote kila nchi ina utawala wake wa sheria kulingana na mazingira.

Kuna kitu kinaitwa 'executive power' ambacho kinamruhusu rais wa nchi yoyote kuchukua hatua bila kufuata utawala wa sheria pale inapobidi kwa maslahi ya taifa. Hii ndiyo aliyotumia Obama kuruhu ima OBL aletwe akiwa hai au auawe kama ni kwa maslahi ya taifa lake. Kwa mpango nyeti na wa hatari kama wa SEAL hakuna nafasi ya kuita senate au congress kujadili mambo ya usalama wa taifa. Hata hapa kwetu itakuwa ajabu rais aite bunge ili hali nchi imevamiwa.

SEAL walifanya mazoezi na muda wa mission ulikuwa dakika 30, hata hivyo ilikwenda hadi 40. Ingetokea wakauawa na pakistan pia ingekuwa utawala wa sheria maana hapo lilikuwa suala la vita. Katika dk 40 sijui ni nani angekuwa na muda wa kujadiliana na OBL apakie helikopta, ili hali Osama alishaapa kuwa ni bora auawe na mlinzi wake kuliko kupelekwa marekani. Kama ni kufuata utawala wa sheria SEAL wangekesha wakijadiliana naye na sijui ni ujinga wa kiasi gani ungekuwa.

OBL alilipua balozi yetu na kuua wananchi wasiojua hata ramani ya nchi yao, wasio na hatia kabisa. Je alifuata utawala gani wa sheria. Mbona hajawahi hata kuomba radhi hata kwa kupitia Mzanzibar Ghailan! Amelipua majengo na mipango mingi ya mauaji mbona hajawahi hata kukanusha japo kupitia video zake badala yake amehamasisha mauaji zaidi. Yeye alitumia utawala gani wa sheria na wa nchi ipi kufanya uhalifu, na leo tuone kaonewa.

Mimi nadhani katika nchi za mwanzo zilizotakiwa kutoa kauli Tanzania ni mojawapo kwasababu tumeonja mateso yake bila ya yeye kututendea utawala wa sheria.

Mambo mengine yote yanayofuata kama mazishi, picha n.k ni kwa maslahi ya nchi ya marekani kwasbabu wenzetu nchi kwanza.
 
Well, fair and fine, obama authorised the killing of osama. Even bush and congress authorised the invasion of iraq too, but that doesn't mean internatiol law was not violated, even if bush and cheney and others haven't been brought to the hague... Now for the case of bin-laden, who was un-armed at the time of his killing, why deny him justice and convict him like saddam hussein, like noriega, like those who commited genocide against the jews, like those who perpetrated genocide in rwanda. At least to them justice was done and evidence of their wrong doing was proved!!!. But where has the allegations against osama been proved to convict him to death by bullet while un-armed?.
 
Kuna aina ya fikra imezuka siku hizi inaitwa conspiracy theory, hii imewafanaya watu wasiweze kufikiri na kuamini hata kama jambo ni kweli au sikweli. Wapo wanaoamini sep 11 hakuna ndege zilizopiga majengo hata kama ushahidi wa upo. Wapo wanaosema marekani haikufika katika mwezi,lakini hawajiulizi imekuwaje wamefika katika mars, n.k
Wakati mwingine watu wanachuki tu na kuziundia theory ziwe kweli.

Alipouawa Al zaqawi kuna watu walikataa kuamini hata pale picha ilipotolewa hadharani, wakisema imetengenezwa hollywood. Ndugu wa marehemu wakajitokeza hadithi ikaishia hapo. Lakini ubiishi ulikuwa third world zaidi kuliko Jordan au Iraq.
Osama haijawahi kutangazwa kuwa kauawa, bali imewahi kutangazwa amefariki kwasababu ya ukimya. Akajitokeza katika mikanda na tetesi zikaisha. Mwezi uliopita alitoa video ambayo wataalamu wanathibitisha kuwa ilikuwa ni yake.

Kujulikana alipo lilikuwa suala la muda mrefu , na waliotoa baadhi ya habari ni washirika wake waliokamatwa na wengine insiders. Hata hivyo hakukuwa na uhakika 100 %kuwa Obama aliishi katika nyumba ile.
Kulikuwa na mashauriano endapo nyumba ibomolewe auawe, au akamatwe au auawe on the spot.
Hoja ya kwanza, nyumba ikibomolewa bado hakutakuwa na proof kuwa kauawa. Akikamatwa italeta tabu na kumpatia umaarufu zaidi.Jambo rahisi ni kumuua, lakini pia Osama hakuwa tayari kukamatwa. Aliwahi kumwambia mmjoa wa walinzi wake kuwa ikiwa hivyo basi ampige risasi kuliko kukamatwa na wamerekani.

Majirani wamethibitisha kuwa nyumba haikuwa ya kawaida, hata taka taka zilikuwa zinachomwa moto. Unajua ni kwanini??
Maiti ya aliyekuwa mkewe imethibitishwa na maafisa wa pakistan, na mmiliki wa nyumba aliyeuawa pia maiti zao zipo pakistan.
Kazikwa baharini na wataalamu wa mambo ya dini ya kiislam waliobobea wamethibitisha kuwepo utaratibu huo.
Je unaweza onyesha kaburi la Al zaqawi? Kumzika mahali panapojulikana kungehamasisha watu zaidi'inspire' na pengine kaburi lake lingekuwa mahali pa 'hija'.
Suala linabaki, je picha za matukio zitolewe hadharani? Ni lazima ieleweke kuwa Osama ana una ushawishi mkubwa sana kwahiyo kila jambo linalofanyika lazima liwe limeangaliwa vema na kwa usahihi kuepeuka 'back lash'

Hivi ni nani anaweza kuwa mkatoliki zaidi ya pope? Alqaida wenyewe wamekiri kuwa mzee amefariki na ameuawa, na sasa wanajiandaa kutoa mkanda wa video aliorekodi kabla. Hii hufanywa na wanajitoa mhanga kama tulivyoona London 7/7 n.k. Video hiyo ili rekodiwa iwe inspiration endapo ingetokea isivyotarajiwa. Sielewi kwanini mtanzania aone sivyo !

Oparesheni za kijeshi ni mambo yanatokea duniani, hata hapa uganda imetokea. Kwa nchi yenye utaalam mkubwa kama marekani, sijui kipi kitawazuia kufanya opereshi. Wanachoogopa ni political ramification kama iliyomkuta Jimmy Carter, na kama umeona the situation room pale white house usingekuwa na shaka.

Al qaida hawajahi kutangaza kifo cha Osama kabla, lakini sasa wamesema mzee wao hawanaye tena na wanajipanga, sasa kwanini mtanzania ubishe!

Bora umewaambia!
Wanadanganya nafsi zao huku ukweli wanaujua.
Waache wajidanganye lakini ukweli unabaki palepale:
MUUAJI KAUAWA. Ni kama ule usemi wao unaosema: "Muosha huoshwa"
 
Nimejaribu kufuatilia mlolongo mzima wa mauaji/kuuwawa kwa Osama sambamba na pongezi zilizotolewa na viongozi wetu lakini bado nimekuwa nikishindwa kuelewa hivi mambo kadhaa wa kadhaa mfano.

1. Hivi Osama amekufa mara ngapi?
2. Kama kweli ameuliwa na tumemsikia Obama akisema "mwili wake tunao" inawezekana kweli wasionyeshe mwili wake na mzike kimya kimya?
3. Ikiwa Obama alisema Osama atazikwa within 24 hours kwa taratibu za dini yake je Osama ni dini gani inayozika waumini wao baharini?

Nafikiria lakini sipati jawabu naona ni bora niache kufikiria maana nafika mbali kiasi naweza kutatizika nafikiria pengine........

1. Obama amelose popularity na hii habari inaweza kumpandisha chati kisiasa.
2. Wamarekani wanatafuta mlango wa kutokea Afghanistani na inawabidi watengeneze storyya kuwa yule aliesababisha wao kuingia huko ameshakufa ya nini waendelee kukaa huko.
3. Wanahisi vita haitaisha kirahisi hasa kuzingatia ni majuzi tu wafungwa wanaoaminika ni wafuasi wa Talibani waliweza ku break na kufanikiwa kutokomea kusikojulikana hii ikiwa na maana jeshi la Talibani litakuwa lime gain.

Ni bora niache kufikiria nisije kuwa chizi nikijikite kwenye matatizo yetu yanayotukabili.

Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More

Endeeleeni kujipa moyo, ila ukweli ndo huo JAMAA TAYARI YUKO KUZIMU.
Wait a minute, Hivi ni kwa nini mnamshabikia mtu ambaye anaondoa roho zisizo na hatia? Au ile Amri ya Mwenyezi MUNGU ya "Usiue" nyie haiwahusu?
I'b back.
 
Back
Top Bottom