Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna muda jaji anajisahau anahisi kama nae ni mwanasheria wa serikali ivo anataka kuweka pingamiziLeo Jaji kaongea hayo maneno! Je wanasheria kwa uelewa wenu hayo maneno yanaweza kuja kutumika kukatiwa rufaa au kwa sasa hivi kumkataa Jaji?
Halafu kwa kuwa Jaji mwenyewe anatokea Mwanza ni rafiki yake na Kidando! Hapo kuna kitu!Kuna muda jaji anajisahau anahisi kama nae ni mwanasheria wa serikali ivo anataka kuweka pingamizi
Hee!Kuna muda jaji anajisahau anahisi kama nae ni mwanasheria wa serikali ivo anataka kuweka pingamizi
Una hasira sanaMna visingizio sana tulieni dawa iwaingie maana mlitamba sana mama anaupiga mwingi.
Mkome kabisa tabia ya kuingilia mahakama.
Wala sio visingizio. Mnaonea sana ninyi!Mna visingizio sana tulieni dawa iwaingie maana mlitamba sana mama anaupiga mwingi.
Mkome kabisa tabia ya kuingilia mahakama.
Jaji kishaonesha roho mbaya yake!Huyu jaji ameahidiwa kupandishwa cheo lakini sisi hatujali afanye atakacholifanya Mungu atoaye haki atupa hukumu yake
ASEEE!Shahidi atapewaje majibu na mtu mwingine akiwa kizambani halafu asionekane? Huyo Jaji ni mchawi ni nini? Anaona visivyoonekana!!
Kalipiza kisasi kwakuwa mzee wa chabo alikamatwa kizimbani akipiga chabo wakati mpiga chabo ni wamrengo wake🤔.Mna visingizio sana tulieni dawa iwaingie maana mlitamba sana mama anaupiga mwingi.
Mkome kabisa tabia ya kuingilia mahakama.
Wewee, mama anaupiga mwingi.Mna visingizio sana tulieni dawa iwaingie maana mlitamba sana mama anaupiga mwingi.
Mkome kabisa tabia ya kuingilia mahakama.