minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Dawa ni kuwasomea Albadiri majaji wote wanaonyesha kuleta uonevu kwenye kesi ya mbowekama sikosea huyo ni jaji wa tatu kwenye hii kesi.... na kila Jaji akija malalamiko ni yaleyale... sasa muafaka ni nini?.....wafuasi wetu uelekeo upi wafuate..., tunaendeleaje kufuatilia kesi na kusubiri matokeo yake ilihali tunaamini jaji yupo kimkakati.... Je tutasemaje mwishoni jaji huyu akimuachia mtu wetu?...