stigajemwa
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 449
- 430
Binafsi naunga mkono matamshi ya mbowe juu ya kupotea kwa beni,japo kama chadema watu walizoea matamko ya kutosha japo hayajawahi kuwasaidia.
Kwa hiyo ajilipue mwenyewe!!Ndio maana namkumbuka Dr Slaa Mbowe kawa mpole sana ccm wanachezea sharubu wanavyotaka........
Jambo serious kama hili ni la kulipua tu kama mbwai iwe mbwai..........
Angekuwa Dr Slaa sizani kama angekubari kuburuzwa namna hii.....
Shame on you Mbowe.......
Mkuu kwa hili hata mimi nahisi Aikaeli anaelewa kila kitu,na kwa habari za hapa na pale,huyu dogo wanamshikilia sehemu.Mimi nahisi kama vile Mbowe anajua kilichomtokea Ben...
Mh. Mbowe kayasema haya leo mara baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu wa kanda ya Nyasa katika ukumbi wa Igimbi mkoani Mbeya.
Mwandishi: Nini kauli yako juu ya kupotea kwa msaidizi wako Ben Saanane?
Mh. Mbowe: Mambo mengine yanapokua katika masuala ya kiuchunguzi sio kila jambo litasemwa hadharani wakati wote, na tunatambua jambo hili lina hatari, linahusu maisha ya mtu, sasa sio kila wakati kusema kuyarahisha.
Unaweza ukasema kumbe kwa kusema sana unawaruhusu na watesi wake pengine waweze kumtoa roho. Kwa hiyo kuna mambo mengine ni sensitive, siyo mambo ya kuzungumza rahisi sana. Tunafanya kazi kwa njia mbalimbali kama chama cha siasa na tunakuwa waangalifu sana kuhusiana na tuseme nini kwa wakati gani na kwa taratibu gani lakini kwamba chama kinafuatilia suala hili,
Kinawasiliana na vyombo mbalimbali. Chama kina vyombo vyake vingine vya ndani ambavyo vinafanya jambo hili lichunguzwe kwa makini.
Tuko hivyo na tunawahakikishia Wote kwamba muda muafaka ukifika tutaweza kutoa taarifa za kina tumekwamia wapi na nini kifanyike cha ziada.
Mwandishi: Mbona kama mwenyekiti umekua kimya sana kuhusu jambo hili kuliko kawaida yako, kulikoni?
Mh. Mbowe: Ah, sasa inategemea, hiyo ni tafsiri, kwa sababu chama ni taasisi sio mwenyekiti
Na mimi nilikua niko safari kwa muda mrefu. Nilikua ziara ya Ulaya wakati jambo hili likiendelea kwa muda wa wiki mbili na nusu. Nimerejea tu kama siku tano zilizopita na nikaja moja kwa moja kwenye ziara jana na juzi usiku. Lakini tunamaliza sasa jukumu hili la kwenda kwenye ziara tunaporejea majumbani kwa likizo hii ya krismasi tutapata mambo ya kujadiliana zaidi.
Lakini chama kama chama Kilikuwa kinawasiliana sana na familia wakati mimi niko safari.
well said he is a diplomatic politicianMh. Mbowe kayasema haya leo mara baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu wa kanda ya Nyasa katika ukumbi wa Igimbi mkoani Mbeya.
Mwandishi: Nini kauli yako juu ya kupotea kwa msaidizi wako Ben Saanane?
Mh. Mbowe: Mambo mengine yanapokua katika masuala ya kiuchunguzi sio kila jambo litasemwa hadharani wakati wote, na tunatambua jambo hili lina hatari, linahusu maisha ya mtu, sasa sio kila wakati kusema kuyarahisha.
Unaweza ukasema kumbe kwa kusema sana unawaruhusu na watesi wake pengine waweze kumtoa roho. Kwa hiyo kuna mambo mengine ni sensitive, siyo mambo ya kuzungumza rahisi sana. Tunafanya kazi kwa njia mbalimbali kama chama cha siasa na tunakuwa waangalifu sana kuhusiana na tuseme nini kwa wakati gani na kwa taratibu gani lakini kwamba chama kinafuatilia suala hili,
Kinawasiliana na vyombo mbalimbali. Chama kina vyombo vyake vingine vya ndani ambavyo vinafanya jambo hili lichunguzwe kwa makini.
Tuko hivyo na tunawahakikishia Wote kwamba muda muafaka ukifika tutaweza kutoa taarifa za kina tumekwamia wapi na nini kifanyike cha ziada.
Mwandishi: Mbona kama mwenyekiti umekua kimya sana kuhusu jambo hili kuliko kawaida yako, kulikoni?
Mh. Mbowe: Ah, sasa inategemea, hiyo ni tafsiri, kwa sababu chama ni taasisi sio mwenyekiti
Na mimi nilikua niko safari kwa muda mrefu. Nilikua ziara ya Ulaya wakati jambo hili likiendelea kwa muda wa wiki mbili na nusu. Nimerejea tu kama siku tano zilizopita na nikaja moja kwa moja kwenye ziara jana na juzi usiku. Lakini tunamaliza sasa jukumu hili la kwenda kwenye ziara tunaporejea majumbani kwa likizo hii ya krismasi tutapata mambo ya kujadiliana zaidi.
Lakini chama kama chama Kilikuwa kinawasiliana sana na familia wakati mimi niko safari.
Uko sahihi ila Dr Mihogo alikuwa mtu wao ndiyo maana wamemfadhili akaishi ughaibuni. Mbowe hana kinasaba na serikali au chama tawala. Anatumia Buthelezi tacticsNdio maana namkumbuka Dr Slaa Mbowe kawa mpole sana ccm wanachezea sharubu wanavyotaka........
Jambo serious kama hili ni la kulipua tu kama mbwai iwe mbwai..........
Angekuwa Dr Slaa sizani kama angekubari kuburuzwa namna hii.....
Shame on you Mbowe.......
Mpelekee taarifaAnataarifa kuwa lema anasota gereza la Kisongo? ?
Anachosema mbowe ni kuwa inaweza kuwa huyo saanane yuko mikononi mwa watu fulani,na wakizidi kuchonga midomo ama kwa kueleza step wanazochukuwa,wamefikia wapi etc,
wale wanaomshikilia wanaweza kuamua kumpoteza mazima kuua soo.
Msisitizo wa nini na hapo kawapiga porojo na hakutowa jibu lolote.
Mtangoja sana kwani kishasema anakwenda zake likizo ya Krismasi.
Hata kumtembelea mwenzao kisongo hakuna, Lowasa, Mbowe, Lissu, Mashinji, na Nasari yupo jirani tu hapo Arusha lakini wamemfungia vioo Christmas yote hii na mwaka mpya mh ananyea kwenye mtondoo, hii ndiyo chedema bhana.Mpelekee taarifa
Ndio maana namkumbuka Dr Slaa Mbowe kawa mpole sana ccm wanachezea sharubu wanavyotaka........
Jambo serious kama hili ni la kulipua tu kama mbwai iwe mbwai..........
Angekuwa Dr Slaa sizani kama angekubari kuburuzwa namna hii.....
Shame on you Mbowe.......
Ukiandika kwa namna ulivyoandika wafuasi fagizi au wapiga deki lami hukasirika mno.Mimi nahisi kama vile Mbowe anajua kilichomtokea Ben...
Msisitizo wa nini na hapo kawapiga porojo na hakutowa jibu lolote.
Mtangoja sana kwani kishasema anakwenda zake likizo ya Krismasi.
Huwa simuamini Mbowe kabisa....mabomu ya Arusha damu za watu zilimwagika na yeye amekaa na ushahidi mpaka leo bila kujali familia za wahanga.Yaweza kuwa ni kweli ila ushahidi wa dhahiri haujapatikana kumfanya aseme hadharani.
Ninavyojua mimi hata kama Ben katendwa jambo na vyombo vya dola bado ndani yake wapo watoa taarifa kwa chama hivyo itajulikana tuu kwa uwazi