Sasa ndugu yangu hapo kuna PhD kweli...haya ndo wanayo yasema TCU kunahaja ya kupewa majukumu ya kufuta degree zingine...maana inawezekana hata hizo paper zake hajawahi kuzi present na kutetea PhD yake..Huende alisubmit tu juu kwa juu.Huwezi kuwa na PhD ukawa unatoa majibu ya juu juu bila hata kufikilia hatua kadha pale mbeleni
Nashangaa sijui huwa haoni TV maana baadae ukija nyumbani ukaanza kujiona unatoa majibu hovyo hata mtoto anaweza kukuuliza baba hivi yule ni wewe au mwingine
Nchimbi badilika na uwe mtu mzima na sio msaniii
HAKUNA MAJADILIANO KABISAAA WAZIRI NA IGP WAJIUZURU %&^£$*&rant:HALAFU TUONGELEE MENGINE JK COME ON KANUMBA MBIO Mbio mpaka kitoto cha watu kinasota jela bila ya sababu, haya nimauaji haa tamko wala waziri wako na igp wao kujiuzuru pls hata ibada zak hazifai njoo bar tulewe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.