Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Hiyo ni kutokana na Waziri wa Ndani, Dr Nchimbi leo alipoulizwa swali kwa nini siku ile ile ya kifo cha Mwangosi, CCM walifanya mkutano wa kisiasa kule Bububu Zanzibar, alijibu kawaulizeni Tume ya Uchaguzi ndiyo waliruhusu.
Kama sababu ni kuwepo kwa sensa inayoendelea, kwani Zanzibar hakuna sensa? Hii nchi vipi jamani?
Kama sababu ni kuwepo kwa sensa inayoendelea, kwani Zanzibar hakuna sensa? Hii nchi vipi jamani?