Kauli ya Chagulani dhidi Manyerere (Council Mwanza) ni sahihi kwa afya ya CHADEMA?

...anaenda wapi tena huyo?...si alishasema yeye ni taasisi iliyohuru!...mi siona sababu ya yeye kwenda kwenye taasisi nyingine zaidi ya kuendelea kushugulika na hiyo taasisi yake...
 
aende zake huyu dogo. Tutasafiri kupiga kura tena. Tulipiga kura kwa kuangalia chama na si wewe. Kwenda zake. Nitatoka Dar kurudi kuipigia kura CDM
 
Chagulani!!! duuh! uroho wa madaraka tu huo! atakuwa ni mwenye akili ya kinyesi atakayefanya kama alivyofanya chagulani! Haiwezekani mimi na wewe timu moja halafu unawasaidia timu pinzani kutufunga ni akili mavi tu hizo
 
Back
Top Bottom