Nawashangaa watu wa aina ya 'the horse' wanaoamini kwamba CDM lazima isambaratike kama vile NCCR au CUF. Kwa taarifa ya watu hawa CDM ni kitu kingine kabisa, kina viongozi na Wabunge makini, wasomi nk.
Watu kama akina Shibuda hawatateresha chama ambacho Watanzania wamekikubali, kwani ukilinganisha CCM na CDM, CDM ndiyo mkombozi wao kwani magamba wameshindwa kuboresha maisha yao.
Hata kauli za kusema ati CDM nao wakishika nchi watashindwa tu kama CCM tu hazina ushahidi wowote, lakini ushahidi wa CCM kushindwa tunao.
The Horse wako wengi. Umemsikia Wassira naye akiota kuwa baada ya mwaka mmoja Chadema itasambaratika na kabla hata wiki kumalizika yeye akasambaratishwa kule kwao na maswali aliyoshindwa kujibu.Nawashangaa watu wa aina ya 'the horse' wanaoamini kwamba CDM lazima isambaratike kama vile NCCR au CUF. Kwa taarifa ya watu hawa CDM ni kitu kingine kabisa, kina viongozi na Wabunge makini, wasomi nk.
Watu kama akina Shibuda hawatateresha chama ambacho Watanzania wamekikubali, kwani ukilinganisha CCM na CDM, CDM ndiyo mkombozi wao kwani magamba wameshindwa kuboresha maisha yao.
Hata kauli za kusema ati CDM nao wakishika nchi watashindwa tu kama CCM tu hazina ushahidi wowote, lakini ushahidi wa CCM kushindwa tunao.