spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Nimefanya tour, toka Rocky city Nzega, nimekaa Igunga siku mbili, juzi nilishinda shelui na nikalala mpaka leo hii niko Singida.
Hali ya Si Si Em si nzuri, iko ICU- Igunga nimewaona watu vikundi kwa vikundi wanasema " Huwezi kusafisha tope ktk maji ya kunywa kwa kumwaga Grisi" Uchavu utaongezeka (contamination itazidi).
Kila ukipita vikona watu wanasema CDM kwanza," Hawa jamaa wana wanaona mbali sana, walipokuja kipindi cha operation Sangara walisema sie wanIgunga tumeigharimu nchi kwa kulichagua fisadi, Sasa si bora tuhamie CDM, Si Si Em yenyewe kila wizara rushwa tu"
Mwingine: Bora Dr Slaa angekuwa anahutubia Taifa japo mara moja kwa miezi mitatu anatupa hali halisi ya mwenenendo wa nchi yetu
Ni kweli askari ni wengi Igunga, hali si mbaya kiusalama ila kama ni tatizo labda liwe la kutengenezwa na hao wageni waliosombwa toka Tabora mjini.
Nimefanya tour, toka Rocky city Nzega, nimekaa Igunga siku mbili, juzi nilishinda shelui na nikalala mpaka leo hii niko Singida.
Hali ya Si Si Em si nzuri, iko ICU- Igunga nimewaona watu vikundi kwa vikundi wanasema " Huwezi kusafisha tope ktk maji ya kunywa kwa kumwaga Grisi" Uchavu utaongezeka (contamination itazidi).
Kila ukipita vikona watu wanasema CDM kwanza," Hawa jamaa wana wanaona mbali sana, walipokuja kipindi cha operation Sangara walisema sie wanIgunga tumeigharimu nchi kwa kulichagua fisadi, Sasa si bora tuhamie CDM, Si Si Em yenyewe kila wizara rushwa tu"
Mwingine: Bora Dr Slaa angekuwa anahutubia Taifa japo mara moja kwa miezi mitatu anatupa hali halisi ya mwenenendo wa nchi yetu
Ni kweli askari ni wengi Igunga, hali si mbaya kiusalama ila kama ni tatizo labda liwe la kutengenezwa na hao wageni waliosombwa toka Tabora mjini.