Kauli tata za Viongozi juu ya ujio wa dawa ya Madagascar ya kutibu virusi vya Corona Covid-19

Halafu hapo hakuna beberu aliyetia neno. Lisa letu Ni kwa vyombo vyetu vya habari na kuwa na wanahabari ambao hawana kadi za CCM watuhojie Hawa viongozi tupate kujua wsnatupeleka wspi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna nchi yoyote ya kiafrika inayoweza kufanya utafiti wa kisayansi ili kupata chanjo ya huu ugonjwa ni usanii tu na kutaka kupiga pesa za walalahoi.

Utafanyaje utafiti ilhali huna wataalamu, maabara na hata vifaa? Watu wanautumia huu ugonjwa kujitafutia umaarufu wa kisiasa na wa kijinga kabisa huku watu wakiwa wanakufa kila siku.
 
Asa unaendaje kuchukua kitu ambacho hujajiridhisha kama kweli kinaponya,kwanza aliegundua tayari kashatoa matokeo yake imeponya watu kadhaa bado tena wewe unataka uifanyie utafiti manake unataka umprove wrong-kama ungeweza kwanini usigundue yako kutokana na uwezo uliokua nao wa kuwaprove wenzio wrong
 
Kama lengo lilikuwa kufanya utafiti chupa moja (kama sample) ingetosha. Sasa swali ni je kwa nini tutume ndege na kuleta mabox mengi hivyo wakati hatuna uhakika kama dawa yenyewe inatibu. Sasa kama utafiti utaonyesha haifai, hizo gharama za ndege, timu iliyokwenda huko, gharama za kuleta mabox yote hayo zinabebwa na mlipa kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na je ikionekana inafaa
 
Mimi nimeshangaa kuona kabudi ana kunywa pale pale ile dawa mpaka nimeogopa angedhurika nani angedhurika hapo hapo anarudi nchini na kusema hizi chupa mbili ni just for testing
 
Kuhusu dawa kuanza kutumika mpaka WHO waidhinishe hilo ndilo linaonesha kwamba kwenda kuchukua dawa hiyo halikuwa jambo kubwa la kufanywa na waziri wa Mambo ya nje.
Utaubaliana na mimi, iwapo umefanya utafiti, ni mhimu kupitia kazi za wengine kuhusu jambo unalofanyia utafiti, kujua mbinu walizotumia na matokeo ya tafiti zao. Kwa sababu hiyo ya kitafiti ilikuwa lazima Waziri awapeleke wataalamu wetu.
 
Kwa sababu hiyo ya kitafiti ilikuwa lazima Waziri awapeleke wataalamu wetu.
Kwa nini ni yeye na siyo waziri wa Afya?

Leo akiendea Zambia kuongea nao kuhusu kufungwa kwa mpaka wa Tunduma/Nakonde ataeleweka maana hilo ndilo jukumu lake!!
 
Utaubaliana na mimi, iwapo umefanya utafiti, ni mhimu kupitia kazi za wengine kuhusu jambo unalofanyia utafiti, kujua mbinu walizotumia na matokeo ya tafiti zao. Kwa sababu hiyo ya kitafiti ilikuwa lazima Waziri awapeleke wataalamu wetu.
Waziri kwenda Madagascar ni ishu ya kisiasa na sio ya kisayansi wala siyo ya kiutafiti
 
Back
Top Bottom