Huu ni ujinga wa hali ya juu. Hata Marekani, gwiji wa mabepari, serikali ina haki ya kutaifisha."Kwa sisi tuliwahi kutaifishahuko nyuma....tunapokwenda huko nje kazi kubwa tunayopata huko nje ni kuwaelezakwamba sasa hatutaifishi tena....ujamaa haupo tena.Njoooni" JK