Kauli tata Mei Mosi 2019

Jiwe mjanja amebana hivyo ili mwakani awapandishie wote wajisahau awaombe tena kura/kula zao na akipita anasgusha tena nyie mnamjua au mnamsikia
Mwakani kila kitu ni bwerere ili aanze kukusanya point za kuomba tena kura nabwatanzania walivyo wepesi wa kusahau na kura ataouta tena kwa ushindi wa ajabu
Hakuna kitu kama hicho kwani kushinda kwake hakutegemei kura ya mfanyakazi/mkulima wala mfanyabiashara! Kwani ndio maana anakuwa na jeuri ingekuwa ni nchi ya rais anashinda kwa kutegemea wapiga kura, kuanzia mwaka huu ilikuwa ajishushe kweli, na ndio maana hata kwenye chaguzi za serikali za mitaa/vitongoji mwaka huu wanajeuri tu kwani wanajua lazima washinde tu. Upinzani imala ndio nafuu kwa wananchi sasa ajabu Tz, upinzani unapopitia kwenye misukosuko miananchi mingi ndio inashangilia!! Wakati ni kiama kwao!!! Kura za jiwe ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kutamka tu mshindi ni JIWE
 
Mh ni jasiri muongoza njia ambaye pia ni kauzu sana.Kwa hii njia anayotupitisha tutaona matunda yake mbeleni tusimkwamishe.kuhusu uchaguzi ujao naona kama hakutokuwa na uchaguzi kwa vile upinzani ushapotezwa na hauna agenda yenye mshiko.Nina maanisha hata wakilibeba hili wananchi wana matumaini na mwenye nchi.
Unamaanisha watanzania wote ni wakimbizi,Rais tu ndiye mtanzania? Looooo!!!! Jamaa nchi INA vichaa wasioweza kupona
 
Nilijua amewakamata wengi, kama ungekuwa ni mtihani karibia darasa zima lingepata supplementary.Sitaki kumlisha maneno lakini kwa namna nilivyomwelewa mimi, ni kwamba

MOJA: Hataki kutangaza kuwa amepandisha mishahara kwa sababu anaogopa wafanyabiashara watapandisha bei za vyakula

MBILI: Hajamaliza muda wake wa Urais, na mwakani ni mwaka wa uchaguzi. Hawezi akasubiria mwakani kupandisha misahahara kwa sababu mwakani ni mwaka wa uchaguzi na muda wake wa Urais kwa kipindi cha kwanza utakuwa karibia umeisha. Kwa hiyo kauli kwamba atapndisha mishahara kabla hajamaliza muda wake wa Urais, alikuwa anamanisha mwaka huu kwa mtizamo wangu mimi.

TATU: Akipandisha mishahara mwakani, wapinzani wake ambao wanaweza kuwa wamekosa kabisa cha kuongea sasa hivi, atakuwa amewapa loophole ya kuanza kuongea kuwa ameongeza sababu kuna uchaguzi mkuu, nafasi amabyo nina uhakika hawezi kuwaruhusu wakaipata.

NNE: July 31 haiko mbali, tusubiri ipite kwanza halafu ndiyo tuurudie tena huu mjadala wa maslahi yanayotokana na kupanda kwa midshahara!
 
Nilijua amewakamata wengi, kama ungekuwa ni mtihani karibia darasa zima lingepata supplementary.Sitaki kumlisha maneno lakini kwa namna nilivyomwelewa mimi, ni kwamba

MOJA: Hataki kutangaza kuwa amepandisha mishahara kwa sababu anaogopa wafanyabiashara watapandisha bei za vyakula

MBILI: Hajamaliza muda wake wa Urais, na mwakani ni mwaka wa uchaguzi. Hawezi akasubiria mwakani kupandisha misahahara kwa sababu mwakani ni mwaka wa uchaguzi na muda wake wa Urais kwa kipindi cha kwanza utakuwa karibia umeisha. Kwa hiyo kauli kwamba atapndisha mishahara kabla hajamaliza muda wake wa Urais, alikuwa anamanisha mwaka huu kwa mtizamo wangu mimi.

TATU: Akipandisha mishahara mwakani, wapinzani wake ambao wanaweza kuwa wamekosa kabisa cha kuongea sasa hivi, atakuwa amewapa loophole ya kuanza kuongea kuwa ameongeza sababu kuna uchaguzi mkuu, nafasi amabyo nina uhakika hawezi kuwaruhusu wakaipata.

NNE: July 31 haiko mbali, tusubiri ipite kwanza halafu ndiyo tuurudie tena huu mjadala wa maslahi yanayotokana na kupanda kwa midshahara!
Hakuna bajeti ya kupandishia watu mishahara kiholela kwa sasa... Kwasasa tunafocus kwenye kuwaletea maendeleo WANYONGE WA NCHI HII
 
Kama kuna mtu unapaswa kuwa makini naye sana... I mean kwa asilimia 100 basi ni mtu mwenye kuitwa Mwanasiasa... Ichunge sana kauli yake kwakuwa huitamka akiacha utata ama nafasi ya utetezi
Ndio maana kuna utani unasema Mwanasiasa akikwambia kumepambazuka usimwamini mpaka utoke nje ujiridhishe mwenyewe.... Tafsiri yake ninini hapa!? MWANASIASA HAAMINIKI...
Ishu ya kupandishwa madaraja na kuongezewa mishahara ilikuwa ni ahadi ya Mei Mosi 2018.... Subiri yavuta kheri... Lakini sometimes huja kinyume.... Kilichotarajiwa na wengi kimekuja tofauti kabisa... Picha zijazo zinajieleza
Lakini kwa umakini mkubwa kabisa imetoka kauli nyingine tata kuwa alisema ataongeza kabla hajatoka madarakani.... Ametaja mwaka wa kutoka madarakani?
Jifunze kusoma lugha za kisiasa... Utaishi maisha mengiView attachment 1085817View attachment 1085824
Hivi hawa mabinti nao ni walimu au au ni dada poa wamekodishwa toka baa na madanguro mbalimbali?
 
Nilijua amewakamata wengi, kama ungekuwa ni mtihani karibia darasa zima lingepata supplementary.Sitaki kumlisha maneno lakini kwa namna nilivyomwelewa mimi, ni kwamba

MOJA: Hataki kutangaza kuwa amepandisha mishahara kwa sababu anaogopa wafanyabiashara watapandisha bei za vyakula

MBILI: Hajamaliza muda wake wa Urais, na mwakani ni mwaka wa uchaguzi. Hawezi akasubiria mwakani kupandisha misahahara kwa sababu mwakani ni mwaka wa uchaguzi na muda wake wa Urais kwa kipindi cha kwanza utakuwa karibia umeisha. Kwa hiyo kauli kwamba atapndisha mishahara kabla hajamaliza muda wake wa Urais, alikuwa anamanisha mwaka huu kwa mtizamo wangu mimi.

TATU: Akipandisha mishahara mwakani, wapinzani wake ambao wanaweza kuwa wamekosa kabisa cha kuongea sasa hivi, atakuwa amewapa loophole ya kuanza kuongea kuwa ameongeza sababu kuna uchaguzi mkuu, nafasi amabyo nina uhakika hawezi kuwaruhusu wakaipata.

NNE: July 31 haiko mbali, tusubiri ipite kwanza halafu ndiyo tuurudie tena huu mjadala wa maslahi yanayotokana na kupanda kwa midshahara!
Wewe ndio bure kabisa. Kwani kipindi chake cha uongozi kinaishia 2020? Mbona kwa ubabe alionao ana uhakika wa kuwa madarakani hadi 2025?
 
Jiwe mjanja amebana hivyo ili mwakani awapandishie wote wajisahau awaombe tena kura/kula zao na akipita anasgusha tena nyie mnamjua au mnamsikia
Mwakani kila kitu ni bwerere ili aanze kukusanya point za kuomba tena kura nabwatanzania walivyo wepesi wa kusahau na kura ataouta tena kwa ushindi wa ajabu
Mimi nakataa kwa sababu kwa siasa zilizopo uchaguzi siyo tishio tena kwa utawala huu. Ameshawaminya wapinzani kwa hiyo uchaguzi wala haumpi presha. " Nikuajiri mimi, Nikununulie gari, Nikulipe mshahara, Nikupe nyumba, halafu eti unamtangaza mpinzani kashinda! Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, hapo labda siyo mimi. Maana yake umeshindwa kazi".
 
Weka kumbukumbu mei mosi ijayo uone
Mimi nakataa kwa sababu kwa siasa zilizopo uchaguzi siyo tishio tena kwa utawala huu. Ameshawaminya wapinzani kwa hiyo uchaguzi wala haumpi presha. " Nikuajiri mimi, Nikununulie gari, Nikulipe mshahara, Nikupe nyumba, halafu eti unamtangaza mpinzani kashinda! Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, hapo labda siyo mimi. Maana yake umeshindwa kazi".
 
Weka kumbukumbu mei mosi ijayo uone
Nakuhakikishia kwa utawala huu na watanzania hawa uchaguzi siyo tishio tena! Niambie nini kinautisha utawala huu? Zamani walikuwa wanatekeleza mahitaji yetu kwa kuogopa kunyimwa kura. Leo hilo halipo. Kisha waambia wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi kwamba ole wake atakaye mtangaza mpinzani kashinda. Je, wewe unafikiri kuna mkurugenzi atamtangaza mpinzani kuwa ni mshindi? kwani hapendi kazi?
 
Mkuu kaeleweka vZur Sana!mpaka atakapokuwa anakarbia kutoka madarakan,ko ni mwaka 2024!

sijui kajuaje kuwa uchaguz ujao atashinda!!siasa za bongo bwana!!!!
Keshajua kuwa hahitaji kura zetu kubakia magogoni mnamo Nobember 2020. Anahitaji NECCCM, na Majeshi tu!
 
MEI MOSI 2019 Rais Magufuli: Sasa hivi kila mwezi tunatumia takribani bilioni 580 kulipa mishahara na huwa tunalipa kuanzia tarehe 19. Lakini pia tunatumia fedha nyingi kulipa madeni hivyo mnawezakuona kiasi gani kinabaki kwa miradi ya maendeleo # GPL

SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS LIMITED
 
Wewe ndio bure kabisa. Kwani kipindi chake cha uongozi kinaishia 2020? Mbona kwa ubabe alionao ana uhakika wa kuwa madarakani hadi 2025?

Basi kama wewe ulimwelewa kuwa alimaanisha hivyo, basi mimi nashauri apandishe mwaka 2025, mwishoni mwa kipindi chake cha pili, au wewe unasemaje?
 
Wewe ndio bure kabisa. Kwani kipindi chake cha uongozi kinaishia 2020? Mbona kwa ubabe alionao ana uhakika wa kuwa madarakani hadi 2025?

Basi kama wewe ulimwelewa kuwa alimaanisha hivyo, basi mimi nashauri apandishe mwaka 2025, mwishoni mwa kipindi chake cha pili, au wewe unasemaje?
 
Wewe ndio bure kabisa. Kwani kipindi chake cha uongozi kinaishia 2020? Mbona kwa ubabe alionao ana uhakika wa kuwa madarakani hadi 2025?

Basi kama wewe ulimwelewa kuwa alimaanisha hivyo, basi mimi nashauri apandishe mwaka 2025, mwishoni mwa kipindi chake cha pili, au wewe unasemaje?
 
Umemshtukia Mkuu wa nchi😂😂😂Halafu hao wadada hapo pichani kama ni Walimu Nijulishe nahitaji wa kumfundisha binti yangu "individual studies".
 
Back
Top Bottom