Bowbow
JF-Expert Member
- Oct 20, 2007
- 541
- 30
Hongereni kwa jitihada waja JF
Nimetaka kuleta hii mada ya kauli potofu za viongozi waandamizi na jinsi walivyoudanganya Umma na hatimaye kuumbuliwa na ukweli.
Ningeomba tuweke kauli zote(nukuu halisi ya kiongozi) zenye Utaka kuanzia Sakata za Buzwagi, BoT, Balali,n.k
Unamtaja kwa jina unaquote kauli yake(nukuu halisi)na jinsi alivyoumbuliwa. lengo ni kufikisha ujumbe kwa wananchi wengi zaidi kwa kuonesha jinsi viongozi wetu wanavyojitahidi kutudanganya. Naamini viombo vingi vya habari vinachukua habari hapaJF tutakuwa tumewarahisishia kazi.
Karibuni
Nimetaka kuleta hii mada ya kauli potofu za viongozi waandamizi na jinsi walivyoudanganya Umma na hatimaye kuumbuliwa na ukweli.
Ningeomba tuweke kauli zote(nukuu halisi ya kiongozi) zenye Utaka kuanzia Sakata za Buzwagi, BoT, Balali,n.k
Unamtaja kwa jina unaquote kauli yake(nukuu halisi)na jinsi alivyoumbuliwa. lengo ni kufikisha ujumbe kwa wananchi wengi zaidi kwa kuonesha jinsi viongozi wetu wanavyojitahidi kutudanganya. Naamini viombo vingi vya habari vinachukua habari hapaJF tutakuwa tumewarahisishia kazi.
Karibuni