Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
1: Rais vyuma vyake havijakaza kwa sababu halipi umeme, halipii nyumba ya kulala, anafanyiwa kila kitu kwa kodi zetu".
2: Hakuna kipindi watanzania wana maisha magumu ndani ya nchi yetu kama kipindi hiki toka kuumbwa dunia hii".
3: Chadema tunawaomba Viongozi wa Dini wasikate tamaa, tuko tayari kusimama nao mpaka mwisho".
4: Viongozi tukubaliane kukosolewa, wewe ni nani hata usifanye makosa, wapinzani wakikosa wasemwe, Rais akikosa asemwe, Waziri Mkuu akikosa asemwe, taasisi yoyote ikikosea isemwe".
5: Rais amekuwa mbabe na amewaruhusu wasaidizi wake nao wawe wababe, wananchi wanateswa na wanashindwa kuongea na hakuna mtetezi wao".
6: "Kuhama vyama sio kosa, ila tunasumbuliwa na hii sababu ya kuhama kwao. Uchumi wa nchi unaporomoka kiasi hiki halafu unasema unampongeza Rais na Serikali yake? Mbunge mwenye akili timamu hawezi kuhamia CCM wakati Lissu amepigwa risasi na waandishi wanapotea".
7: "Unawaombaje viongozi wa dini wakuombee, lakini wakikwambia utubu dhambi zako unawashambulia. Kakobe asikate tamaa, Maaskofu, Masheikh na Maimamu waendelee kupaza sauti zao, taifa linawahitaji".
2: Hakuna kipindi watanzania wana maisha magumu ndani ya nchi yetu kama kipindi hiki toka kuumbwa dunia hii".
3: Chadema tunawaomba Viongozi wa Dini wasikate tamaa, tuko tayari kusimama nao mpaka mwisho".
4: Viongozi tukubaliane kukosolewa, wewe ni nani hata usifanye makosa, wapinzani wakikosa wasemwe, Rais akikosa asemwe, Waziri Mkuu akikosa asemwe, taasisi yoyote ikikosea isemwe".
5: Rais amekuwa mbabe na amewaruhusu wasaidizi wake nao wawe wababe, wananchi wanateswa na wanashindwa kuongea na hakuna mtetezi wao".
6: "Kuhama vyama sio kosa, ila tunasumbuliwa na hii sababu ya kuhama kwao. Uchumi wa nchi unaporomoka kiasi hiki halafu unasema unampongeza Rais na Serikali yake? Mbunge mwenye akili timamu hawezi kuhamia CCM wakati Lissu amepigwa risasi na waandishi wanapotea".
7: "Unawaombaje viongozi wa dini wakuombee, lakini wakikwambia utubu dhambi zako unawashambulia. Kakobe asikate tamaa, Maaskofu, Masheikh na Maimamu waendelee kupaza sauti zao, taifa linawahitaji".