Kauli mpya ya magufuli inayoweza kuingia kwenye top ten za viongozi

siku zote ukizidiwa na majukumu huwa tunakosa majibu hata kwa maswali mepesi.nafikri toka pinda ampige stop maguful amekuwa na majibu ya rafu.
 
Huyu jamaa mimi nampenda sana mak ni mtu wa fact hatki longolongo japo kama binadamu anamapungufu yake.
 
Ni kwa kuwa nchi haina msemaji kwa sasa, Julius angekuwepo angeshauri akapimwe huyu............
 
Watz hawapendi kuambiwa ukweli. Sasa toka lini mpangaji akalipwa fidia...Sasa wewe unaeona magufuli hajajibu vizuri. Ingekua wewe ungejibuje?
Watu wasio na 200 ya kivuko ungewaambije. Achane hizo magufuli hana longolongo
 
Agombei tena 2015 ndio maana anaona hana cha kupoteza,huyu jamaa kila kukifanyika uchaguzi mkuu wanae wanakufa sasa kaona wataisha ngoja asigombee!!!
 
>mwananchi: " sasa waziri fidia inalipwa kwa wenye nyumba, na sisi wapangaji inakuaje? tunastahili kulipwa"
>
>Magufuli: "Jenga ya kwako, tena we daktari huna nyumba"
>
>mwananchi2: "sasa waziri, huoni kwamba ni usumbufu kwa watanzania wenye hali ya chini kuvunjiwa nyumba na kuanza kuhangaika kutafuta pa kuishi, hivyo tufikirie kutufidia kidogo"
>
>Magufuli:"Kama unaona tanzania tunakusumbua hamia kenya"

SAAFI SANA, haina ubabaishaji hii, kumbuka huyu alishwahi kujiuzulu Rais akazuia. So nafikiri ni bora asimamie ukwlei wa msimamo wake, not politics kila wakati.
 
Wakati mwingine kuna mambo utacheka mpaka mbavu ziume bure. Wenye nyumba wanalipwa fidia kutokana na nyumba zao, sasa mpangaji nae anadai fidia ya nini? au ya pango lake?
 
Mnataka hao Wananchi wadanganywe kisiasa, na misemo yao ya kisiasa.Serikali ipo kwenye mchakato wa kuwalipa, tutaunda task force kuangalia uwezekano wa kuwalipa nk
 
Magufuli analewa madaraka huyu........majibu kama ya Lodilofa bana!!
 
Wakuu ni heri huyu anayetoa kauli za jazba ila kazi inasonga kuliko mkuu wa kaya ambaye hatoi kauli za maudhi wala za heri kwenye mambo mazito ya kitaifa. mfano madaktari wanataka kugoma kwa mara ya pili, wakati yeye anapanda mlima kilimanjaro.
 
Magufuli ni kiongozi mzuri ana msimamo na maamuzi yake hayumbishwi na huwa hana majibu ya kisiasa anakujibu vile inavyotakiwa kuwa!
 
Magufuli ndio kiongozi wa ukweli... Maana ni mtu wa fact... Na Tanzania ya sasa inaitaji kiongoz au rahisi wa aina hii.... Kwanin Watu kama hawa hawagombeagi urais? Tunairaji rais mtendaji sio kama baba Mwaanasha... Wabunge wanataka kugoma mara ya pili yeye yupo Moshi anasubiria mwisho wa mwez ufike aanze kututonesha vidonda ila sasahv yupo kimyaa.a... Haya baba mwanaashaaa....
 
Back
Top Bottom