Naomba mwana CDM yoteyote mwenye data za ushindi wa urais wa CDM tuwekeeni tujadili..
Tujue Dr. Slaa alipata kura ngapi za urais
Unajifanya kipofu hujui maandamano yamezaa nini hukuona maandamano yalivyoanza tu tukaona wakuu wa nchi wanaingilia bei za vyakula ikiwa ni pamoja na kushusha bei ya sukari kuzuia nafaka zisiuzwe nje kama mahindi kwa Dar mkuu wa mkoa aliamuru wafanyabiashara wa unga wa sembe wapunguze bei baada ya kuuziwa mahindi kuoka katika magala ya serikali ukiangalia trend hiyo yote hayo yametokea baada ya CDM kutangaza maandamano nchi nzima kupinga ughari wa maisha sasa ni kwa kiwango hilo ni suala jingine ile kushituka tu kwa viongozi imetokana mojakwa moja na maandamano ya CDM sasa unajifanya huoni kwakuwa umenunuliwa iliulisaliti taifa lako kuna umuhimu kujua uraia wako.Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..
Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.
CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..
Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?
Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..
Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..
Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
Naomba mwana CDM yoteyote mwenye data za ushindi wa urais wa CDM tuwekeeni tujadili..
Tujue Dr. Slaa alipata kura ngapi za urais
Mimi sio CCM mimi ni Independent Thinker, sio mtumwa wa chama cha siasa..
Kama unataka habari za Nape muanzishie thread..hapa tunajadili nguvu ya umma ya CDM
WanaJF tupuuze post hii, haina mashiko. Siyo GT otherwise angekuwa ameng'amua maana ya nguvu ya umma, uwakilishi wa wabunge wa CDM na nguvu ya wabunge hao ukilinganisha na wale mia 2 wa CCM.
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..
Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.
CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..
Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?
Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija hao wabunge 23 wamepatikana kwa mbinde kama sio uchakakajuaji wangefika zaidi ya 100 mfano segerea, mbeya vijijini, njombe,shinyanga, kibaha mjini na kwingineko pia kumbuka uchaguzi wa 2005 cdm walikuwa na wabunge wasiozidi 10 2010 wabunge 23. 2015 wabunge zaidi ya 200
Kwa upupu huu unajiita hivyo?Mimi sio CCM mimi ni Independent Thinker, sio mtumwa wa chama cha siasa..
Kama unataka habari za Nape muanzishie thread..hapa tunajadili nguvu ya umma ya CDM
Hivi kwa akili yako nyembamba huwezi kujiuliza kwa nini Idadi ya Wabunge wa Viti Maalumu kwa Chadema ni kubwa kuliko wale wa kuchaguliwa??Mkuu naomba unitajie majimbo ya uchaguzi walioshinda ubunge CDM
Hivi kwa akili yako nyembamba huwezi kujiuliza kwa nini Idadi ya Wabunge wa Viti Maalumu kwa Chadema ni kubwa kuliko wale wa kuchaguliwa??
..Jiulize tena ..ukishindwa Muulize Kiravu na yule mzee Makame aliyestaafu ..
Ndio maana sijataja wabunge wa kupewa wa viti maalum..hata Sabodo kakataa kuwajengea visima sababu hawana maana yoyote
Ritz, Mbona pumba hivyo? Hivi CCM kinakubalika zaidi ya CDM? Huhitaji ubongo mkubwa kuliko ubongo wa kuku kuona kuwa CDM imefanya makubwa ambayo sasa CCM inabidi iyakubali kwa NGUVU ya UMA. Je unafahamu kuwa mabadiliko ya katiba haikuwa sera ya CCM bali ya CDM? Sasa CCM wameivalia njuga. Mbona ni rahisi tu kuelewa mkuu? Hebu tumia ubongo wako ambao nina uhakika ni mkubwa kuliko wa kuku. Ooops mara nyingi ubongo mkubwa waweza kuwa tupu eh!
igunga ccm waliiba kura 26000,chadema wakapata 23000 kwa mujibu wa tume yenu.
sasa unchopinga ni nini?
pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz.
Magwanda wataanza kuporomosha matusi sasa hivi. Ukiwakamata pazuri tu, wanaanza.
Ndio maana sijataja wabunge wa kupewa wa viti maalum..hata Sabodo kakataa kuwajengea visima sababu hawana maana yoyote