Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 987
- 2,487
- Thread starter
- #21
Kweli mwanaHamna jinsi tunaitaji point tatu na hatutaki iwe mechi ya kawaida kwetu sababu tuko nyumbani na tunacheza na bingwa wa afrika unategemea nini sio mechi ya kiboya
Kweli mwanaHamna jinsi tunaitaji point tatu na hatutaki iwe mechi ya kawaida kwetu sababu tuko nyumbani na tunacheza na bingwa wa afrika unategemea nini sio mechi ya kiboya
kweli,wamengabiki WIDA kwanza. hii slogan itumie roboKusema kweli hizo kauli zingefaa kutumika kama ingekuwa ni mechi ya mwisho ya group stage ambayo ni lazima tushinde au mechi ya marudiano robo au nusu fainali ambapo ushindi ni lazima ili kuendelea mbele
Total war au point of no return katika mchezo wa pili group stage naona kama ni extreme kidogo
Yap,wangetumia"WIDA 2"au "WIDA part 2"kweli,wamengabiki WIDA kwanza. hii slogan itumie robo
"COMMANDO KIPENSI"Kauli mbiu ingekuwa "COMMANDO"
mngekuwa waerevu msingedangwanywa na Mwakalebela kama Morison amefunguliwa kesi CASYan manara ndo anawadanganya kuwa mtaifunga al ahly hii?
HahahahaWakati wengine wakijipanga namna ya kupambana na kumshinda bingwa wa Afrika na mshindi wa tatu wa vilabu duniani, Kuna wengine wanajipanga kujitoa kwenye ligi endapo hawatapendelewa na refa kuifunga team ya Mtibwa Sugar toka hapo Turiani Morogoro....
Soka la bongo linaenda kwa kasi sana miaka hii...
Halow utani bhana raha hasa umkute anayetaniwa yupo katika hali mbaya.Wakati wengine wakijipanga namna ya kupambana na kumshinda bingwa wa Afrika na mshindi wa tatu wa vilabu duniani, Kuna wengine wanajipanga kujitoa kwenye ligi endapo hawatapendelewa na refa kuifunga team ya Mtibwa Sugar toka hapo Turiani Morogoro....
Soka la bongo linaenda kwa kasi sana miaka hii...
Hili nalo swali?...... Huu ni UpupuYan manara ndo anawadanganya kuwa mtaifunga al ahly hii?
Labda kama mnacheza na Al MayayHili nalo swali?...... Huu ni Upupu
Wewe wasema....Al Ahl wanakuja na Game of death
Unajifanya Hujui au sio?.... Basi endelea kujitoa ufaham watu wale ROAD TO Q...................Labda kama mnacheza na Al Mayay
Ulifikiri Ni utopoloNgoja tuone total War.