peter mathiasa
Member
- Oct 14, 2020
- 12
- 53
Kwa hali tunayokutana nayo wahitimu wa Vyuo Vikuu mtaani baada ya masomo, nachelea kusema elimu sio tena ufunguo wa maisha na naiomba selikari iziondoe rasmi hizi kauli mbiu.
Zinawapoteza sana watoto wa masikini hasa wa vijijini, wanakuwa inspired na kauli mbiu kama hizi kwenye logo za shule zao na kujikuta wakitumia muda wao mwingi na pesa nyingi za familia zao, mwisho wa siku wanarudi baada ya kuhitimu vyuo vikuu na kuzifilisi familia wakiwa mikono mitupu, no ajira, no direction nothing to do.
ELIMU SI UFUNGUO TENA WA MAISHA.
Zinawapoteza sana watoto wa masikini hasa wa vijijini, wanakuwa inspired na kauli mbiu kama hizi kwenye logo za shule zao na kujikuta wakitumia muda wao mwingi na pesa nyingi za familia zao, mwisho wa siku wanarudi baada ya kuhitimu vyuo vikuu na kuzifilisi familia wakiwa mikono mitupu, no ajira, no direction nothing to do.
ELIMU SI UFUNGUO TENA WA MAISHA.