Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,731
Habari zenu wana jamvi,
Nimeweka hii post hapa sababu ya moja ya kauli mbaya nliowahi kujibiwa na mpenzi wangu wakati namfuatilia awe wangu.
"Kuliko nikupe papuchi yangu bora nimpe mbwa"!! Hii ndio kauli nliyojibiwa na huyo demu wakati huo namtongoza nilijiskia vibaya sana kwa kauli hii na ilinifanya niongeze mbinu za kumfanya anikubali ila kwa nia ya kumpata akishanipa apo na mm nasepa ili kumkomoa japo nilitokea kumpenda sana kabla ya kunijibu hivyo.
Hatimae akaingia anga zangu kaja home baada ya purukushani za hapa na pale na nguo tushavua nikamgeuka fasta na kumwambia sili sahani moja na mmbwa aende akampe huyo mbwa aliekua akiniringishia aliniomba msamaha sana na machozi yakamdondoka nlimwonea huruma nkamsamehe na hd sasa nipo nae na ni mke wangu tunaishi wote.
Ni kauli gani mbaya kuwahi kujibiwa na mwanamke/mwanaume wakati unamfuatilia au kukufuatilia?
Nimeweka hii post hapa sababu ya moja ya kauli mbaya nliowahi kujibiwa na mpenzi wangu wakati namfuatilia awe wangu.
"Kuliko nikupe papuchi yangu bora nimpe mbwa"!! Hii ndio kauli nliyojibiwa na huyo demu wakati huo namtongoza nilijiskia vibaya sana kwa kauli hii na ilinifanya niongeze mbinu za kumfanya anikubali ila kwa nia ya kumpata akishanipa apo na mm nasepa ili kumkomoa japo nilitokea kumpenda sana kabla ya kunijibu hivyo.
Hatimae akaingia anga zangu kaja home baada ya purukushani za hapa na pale na nguo tushavua nikamgeuka fasta na kumwambia sili sahani moja na mmbwa aende akampe huyo mbwa aliekua akiniringishia aliniomba msamaha sana na machozi yakamdondoka nlimwonea huruma nkamsamehe na hd sasa nipo nae na ni mke wangu tunaishi wote.
Ni kauli gani mbaya kuwahi kujibiwa na mwanamke/mwanaume wakati unamfuatilia au kukufuatilia?