Kauli inayomgharimu Hadji Mponda dhidi ya Madaktari

Watasota na cha moto watakiona hawa manyau magamba haswa!hadi 2015 lazma waharishe tehtehteh....
 
Ni wakati wa kuanza kuwawajibisha viongozi kwa kauli zao za dharau. He should go. Ngojea tukaichapishe hiyo kauli tumbandikie mlangoni kwa ofisi yake. Anafikiri kuongoza wizara ya afya ni kuidhinisha hela za kupeleka vigogo nje tu, aangalie sasa wizara yake imefilisika, hamna vifaa mahospitalini, wanafunzi muhimbili hawana chakula ( hivi ukimnyima mtu chakula kwa siku saba weye si muuaji?)
Pesa ambazo wizara ya afya inazikosa na kufilisika kazifuateni kwenye hospitali za makanisa.
 
Matatizo ya HUDUMA za JAMII nchi hii hayatakwisha kwa kuhangaika na watu.

Watu wanaokwamisha utatuzi wa hayo matatizo au wanaochochea hayo matatizo lazima tuhangaike nao, maana tusipowatoa hayo matatizo hayatakaa yaishe kamwe! They are so dumb to be in those positions!
 
Alafu kuna kauli nyingine sijui atakuwa aliisema nani "Nani aliwaambia muwe madr"
Ivi izi kauli PM hanazo nini?Maana kuna haja ya kumwambia ili ajue.
TAZARA nao wanataka Nundu asepe hawa wataaribu hii ya madr na kusababisha akina Haji kukomaa

Huyo alikuwa Blandina, na alidiriki kwenda mbali zaidi na kumshukuru baba yake aliyemshauri asomee uhasibu maana udaktari haulipi licha ya kuwa alikuwa mzuri kwenye PCB!
 
nani huwa anampa masharti raisi wetu kuhudhuria misiba? Acha basi kuropoka kama haupo tz unaaza kati badala ya mwanzo wa issue....madocta wanataka kutatwatatizo vifaa hakuna wala dawa hawako tayari kuona watu wanakufa kwa kukosa dawa

ila kwa kugoma!!
 
sasa kama madaktari hawamhusu hapo wizarani anafanya nin, si aondoke akawahudumie wanaomhusu....? inasikitisha kuona kiongozi mkubwa kama huyo anasema maneno kama hayo.
 
Ni wakati muafaka viongozi wetu wakawa makini kwa kauli wanazotamka...kama Mh.Mponda hataki kuwajibika kwa Madaktari walio chini ya wizara yake ni bora abaki kuwa mbunge!..atawatumikia wakulima na wafugaji wa Ulanga Magharibi vyema!...Ni aibu kwa Rais na hata kwa baraza la mawaziri kuwa na waziri kama huyu kwenye serikali!
 
Unauliza rais ni nani kweli wewe chai ya rangi. Wakifukuzwa hao mawaziri ndiyo matatizo ya madaktari yataisha au wakija mawaziri wapya watakuja na pesa za kutoka mfukoni mwao kuwapa hao madaktari makajanja wakati bunge la bajeti limeishapita.? Punguza gongo wew
e.
i wonder if at all u'v brain!
You ar displayin how foolish you are.mvivu wa kufatilia mambo na mwepesi wa kupayuka hovyo.
 
Hawa viongozi wetu hawafai huyo aliyewambia kutunga sheria ya kwamba wakiuguwa wapelekwe nje ndo aliaharibu. Sasa lililopo tuombe kule wanakopelekwa wapigwe sindano ya kuwafanya wawe matahayira. Watakobaki watajua maana ya kuimarisha sector ya afya nchini.Wanafikiri wanakopelekwa viongozi wangekuwa viazi kama wao wangeenda?
 
Kuna watu wengi wamekuwa wakihoji kwa nini Waziri wa Afya ajiuzulu? Hata Waziri Mkuu, Mizengo Pinda nae alihoji swali hili wakati akizungumza na Waandishi wa habari hivi majuzi na akaenda mbali kwa kusema Waziri Mponda ni mgeni pale Wizarani na hadly ana kama mwaka mmoja ofisini. Kwa wale ambao hamjui kiini cha Madaktari kumchukia huyu Waziri napenda tu niwaambie kauli yake moja aliyoitoa wakati akihojiwa na waandishi wa habari kabla ya ule mgomo wa kwanza. Alisema hivi: Nanukuu



Mwisho wa kunukuu!

Haa, kumbe! bora aende tu bana, kwahiyo hata vifo vya wagonjwa vinavyotokea navyo havimuhusu?
 
Madaktari ni makanjanja tu. Sasa itakuwa mchezo kila idara ya serikali iwe inampa rais masharti huo ni upuuzi

Sasa wewe na Madaktari nani Kanjanja? Madaktari ni vichwa wewe. Vile vichwa Form six aliyefeli kapata Div I Point 6. Sasa jilinganishe na wewe Afisa tawala ulipata ngapi?
 
Nkya naye wanataka ajiuzulu kwa nini? Naona madaktari ni wapuuzi fulani hivi!

Lucy Nkya alipotosha umma kwamba Madaktari wamekataa majadiliano na serikali wakati yeye ndiye alieyegoma kwenda kukutana nao.

 
madaktari wakifanikiwa tu na sisi police tunataka nani hiii........................ang'atuke!, Nasisis mahakimu naniii hiii......................ang'atuke! na sisi walimu na wasomi wa chuo kikukuu tunataka nani hiii......................ang'atuke
Kazi kwelikweli inabaki Tanzania safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
I think he was right. Naamini anawajibika kwa wapiga kura wake na kwa bosi wake aliyempa kibarua cha uwaziri. Watu hawapendi kuambiwa ukweli eh!
 
I think he was right. Naamini anawajibika kwa wapiga kura wake na kwa bosi wake aliyempa kibarua cha uwaziri. Watu hawapendi kuambiwa ukweli eh!

Sasa kama ni hivyo si atulie achape kazi hizo za hao mabosi wake na wanachozungumza madaktari hakitakiwi kimsumbue kabisa. Nguvu zote za nini kuja kumtetea hapa kwa madai ya madaktari wakati hawajibiki kwao.

Hivi tuchukulie kama utani tu rais na hao mawaziri wakakomaa kwa miezi kadhaa na madaktari wakaja endelea na kazi, hivi kweli wataweza kuendelea kukaa ofisini na kufanya kazi kwa raha huku wakijua vifo ambavyo wameishavisababisha? Kama wataweza kuendelea kukaa hiyo ofisi baada ya mateso yote haya wanayoyapata watanzania, basi hao lazima wawe na roho za chuma!
 
Back
Top Bottom