Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,460
..Ni kweli anawajibika jimboni, kwani uongo?
Sasa pale kwenye ofisi za wizara ya afya anatafuta nini? Si aende Ulanga basi akawajibike kwa wapiga kura wake? Ukishakuwa waziri huwajibiki tena jimboni, unawajibika wizarani, ndio sababu hata bungeni waziri hasimami kutetea wananchi wa jimbo lake, anatetea hoja za serikali yake. Siasa ulisomea wapi weye?
Kumbe wewe na yeye wote m^^^buri tu.