Anamlenga Mwendazake na Misukule yake aliyoiacha duniani!!
Kwavile Mwendazake ni Malaika, na Mama Samia anafahamu hilo, kwahiyo mama anajua kwamba atausikia ujumbe huko huko aliko!
Misukule ya Mwendazake inaipaisha sana Kenya bila wenyewe kujijua!
Yaani wanaichukulia Kenya kama beberu fulani hivi ambalo tukifanya masihara tu, litakuja kututawala na kutupokonya kila kitu wakati Tanzania tuna uwezo mkubwa wa kuwakilisha hawa Manyang'au badala ya kuwaogopa!!
Lakini hii Misukule siwezi kuishangaa manake huwa inafanya choyo na inda hata kwa baadhi ya sehemu za Tanzania yetu, seuze nchi jirani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.