KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Utakuta kiongozi mkuu au mwakilishi wa taasisi flani anawaambia wafiwa na wananchi (via media) eti "naombeni muwe na moyo wa subira" subira ya nini wakati mtu kesha kufa? Mbona huwa hatupati feedback?
Subira katika lipi? Kwani nani anampango wa kuandamana na kuatarisha usalama wa nchi?
Sio misiba yote inahitaji subira labda kama kuna mauaji flani ivi yanayohitaji uchunguzi.Lakini kifo kimetokana na kusukari au BP,, subira ni ya nini mnayotutangazia? au ni kukariri tu?
Kauli nyingine ni "Mungu ame(m)wapenda zaidi ndo mana amewachukua". Inamaana wale wanaonusurika kwenye ajali mfano ile ya Five stars, Mungu anawachukia?
Walionusurika huwa wanajisikiaje wasikiapo kauli hii?
Subira katika lipi? Kwani nani anampango wa kuandamana na kuatarisha usalama wa nchi?
Sio misiba yote inahitaji subira labda kama kuna mauaji flani ivi yanayohitaji uchunguzi.Lakini kifo kimetokana na kusukari au BP,, subira ni ya nini mnayotutangazia? au ni kukariri tu?
Kauli nyingine ni "Mungu ame(m)wapenda zaidi ndo mana amewachukua". Inamaana wale wanaonusurika kwenye ajali mfano ile ya Five stars, Mungu anawachukia?
Walionusurika huwa wanajisikiaje wasikiapo kauli hii?