Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Rafiki yangu amemnukuu Mheshimiwa Rais Dr Magufuli akisema" Nguo yako ikikubana usiigawe itakuenea tu na ukiichoka usigawe kwa mtu ipo siku utairudia kuivaa" mwisho wa kunukuu.
Niwaachie ninyi watu wa fasihi mukktadha wa kauli hii ya jemedari wetu.
Niwaachie ninyi watu wa fasihi mukktadha wa kauli hii ya jemedari wetu.