Kauli hii ya Rais Magufuli inaashiria kuwa kuna matamshi mengine anatoa kwa kutumia mamlaka yake vibaya

Usafi wa kinywa na maneno
Usafi wa akiki na ueleea ni muhimu zaidi.

Let's argue facts.

Fact 1. Magufuli mshamba. Hata Kiswahiki hajui, seuze Kiingereza.

Fact 2. Magufuli ni mshenzi. Kasema atawapiga mpaka shangazi za wapinzani wake. Hii ni kauli ya kishenzi.

Lete facts tujadili.
 
Kula za maoni lazima zipigwe.
Nikiangalia kwenye keyboard, herufi mbili R na L haziko karibu na hivyo hakuna namna kosa unalolifanya linaweza likaitwa typo. Hivyo hivyo hakuna namna mtu makini anaweza kuchanganya nchi tatu za Libya, Kuwait na Iraq na kumhusisha marehemu Gadafi na nchi ya Iraq au Kuwait.

Idugunde, swali linalonisumbua ni hili, hivi tatizo la watu kama ninyi hadi kufikia kuwa na hitilafu ya uelewa katika mambo ya kawaida kabisa ni nini hasa? Naamini ni Watanzania na yawezekana ni wasomi wa kiwango kama mnavyodai kwenye vyeti, je shida yenu kubwa hasa ni nini?
 
Nikiangalia kwenye keyboard, herufi mbili R na L haziko karibu na hivyo hakuna namna kosa unalolifanya linaweza likaitwa typo. Hivyo hivyo hakuna namna mtu makini anaweza kuchanganya nchi mbili Libya, Kuwait na Iraq na kumhusisha marehemu Gadafi na nchi ya Iraq au Kuwait.

Idugunde, swali linalonisumbua ni hili, hivi tatizo la watu kama ninyi hadi kufikia kuwa na hitilafu ya uelewa katika mambo ya kawaida kabisa ni nini hasa? Naamini ni Watanzania na yawezekana ni wasomi wa kiwango kama mnavyodai kwenye vyeti, je shida yenu kubwa hasa ni nini?

Hawa pia wanatatizo na matumizi ya herufi h, utakuta anaandika Hasubuhi badala ya asubuhi.
 
Nikiangalia kwenye keyboard, herufi mbili R na L haziko karibu na hivyo hakuna namna kosa unalolifanya linaweza likaitwa typo. Hivyo hivyo hakuna namna mtu makini anaweza kuchanganya nchi mbili Libya, Kuwait na Iraq na kumhusisha marehemu Gadafi na nchi ya Iraq au Kuwait.

Idugunde, swali linalonisumbua ni hili, hivi tatizo la watu kama ninyi hadi kufikia kuwa na hitilafu ya uelewa katika mambo ya kawaida kabisa ni nini hasa? Naamini ni Watanzania na yawezekana ni wasomi wa kiwango kama mnavyodai kwenye vyeti, je shida yenu kubwa hasa ni nini?
Typing error ndio ulete maswali ya kipuuzi hivyo? Wewe umeshaelewa kuwa kura za maoni lazima zipigwe. Ndugai hapiti bila kupingwa si utaratibu. We shida yako nini?
 
Usafi wa akiki na ueleea ni muhimu zaidi.

Let's argue facts.

Fact 1. Magufuli mshamba. Hata Kiswahiki hajui, seuze Kiingereza.

Fact 2. Magufuli ni mshenzi. Kasema atawapiga mpaka shangazi za wapinzani wake. Hii ni kauli ya kishenzi.

Lete facts tujadili.
Kabla hatujaenda kwenye facts kajifunze kuandika kwanza
 
Ushamba umetamalaki ikulu kwa miaka mitano sasa.
Huenda huu ushamba ukavuka na kuendelea kuwepo.
Aibu ya kauli zake ni aibu ya taifa zima. Tulioko nje ya Tz tunatizamwa kama mazuzu yasiyojitambua tofauti na huko miaka ya nyuma.
Sijui tatizo limesababishwa na nani.
 
Huo ni utani tu wa JPM akiwa jukwaani. Kula za maoni lazima zipigwe. Acheni utoto.
Kuna kula za maigizo hapa Tanzania.?
Sema kula za maigizo lazima zipigwe
Tatizo lipo wapi kula za maoni lazima sifanyike kam kawaida. Asifanye utani mnakomaa kama manaharisha uhalo
Kula za maoni lazima zifanyike.
Mmm...!
Typing error ndio ulete maswali ya kipuuzi hivyo? Wewe umeshaelewa kuwa kura za maoni lazima zipigwe. Ndugai hapiti bila kupingwa si utaratibu. We shida yako nini?
Haiwezekani ikawa ni typing error kwani hata katika matamshi ya majukwaani ni hivyo hivyo. Nadhani tatizo lenu kubwa ni ushamba, ulimbukeni na ushenzi kama alivyosema Kiranga, naunga mkono.

Pamoja na hilo viongozi kabla ya kukabidhiwa madaraka tungekuwa tunawapima akili, wengi hata uongozi wa kijiji hawangepewa. Hiyo ni sawa na kumpa kichaa rungu, je unategemea nini? Je unaweza kushangaa akianza kutembeza rungu kwa wapita njia mtaani?

Lazima kwanza tukiri kwamba Tanzania tuna hii tabia ya kuchagua hovyo na mpaka siku tutakapozinduka na kuwa makini katika chaguzi zetu, imekula kwetu. La muhimu kwa sasa ni kuhakikisha haturudii kosa katika uchaguzi 2020. Magufuli has to be shown the door, period.

Kama tutafanya ujinga tena, basi tusitafute wa kumlaumu, labda sisi ndio tunafaa kupimwa akili.
 
#blacklivesmatter ndio itamuondoa huyo Mtutsi wapinzani shirikianeni nao ..viongozi wao wataonja joto ya jiwe mkiwaambia misaada yao wanajenga madictator Afrika
 
Huyo ni raisi ana mteua yeyote anae taka ambae si mwana demokrasia ni MBOWE hakupi nafasi ya kugombea ubunge mpaka uingie nae mkataba umlipe laki tano na Kama Ni viti maalumu umlipe 1.5 ml na na ngono juu
Uliishaitwa kutoa ushahidi? Kama bado nenda mwenyewe haraka ukiwa na vielelezo
 
matumizi mabaya ya madaraka.
hili halina kinga ya katiba baada ya 2020 au 2025.
tunasubiri kwa hamu muda huo ufike maana mahasimu wapo ndani na nje ya chama.
Tatizo siyo katiba, shida ni watu.
Hakuna katiba inayoruhusu matumizi mabaya ya madaraka.
Uwepo wa katiba ni jambo moja na kuhakikisha haivunjwi ni jingine.
Katiba haijilindi yenyewe.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom