Barack Obama jr
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 592
- 982
"... Hawa ndio vichaa tunaohangaika nao, ebu toka hapa...
Msinijaribu, Ardhi Kinondoni nitawashughulikia,...hadi mtajuta kuzaliwa,.... Mimi nikisimama hapa amesimama Mungu,... Sikuletwa hapa kwa bahati mbaya,... Nitawatia ndani wote, na hakuna mtetezi wenu,.. Wewe mama unanisikia, hauna wa kukutetea..." By Paul Makonda
My take; kauli hii aliitoa December 2016 wakati wa ziara zake za kikazi katika Mkoa wa Dar es salaam, moja ya kauli mbovu kati ya nyingi mbovu na za hovyo kutolewa na kiongozi wa umma, kauli iliyokosa utu, heshima na nidhamu kwa wale anao waongoza, huyu RC ni mzigo kwa Watanzania.
Msinijaribu, Ardhi Kinondoni nitawashughulikia,...hadi mtajuta kuzaliwa,.... Mimi nikisimama hapa amesimama Mungu,... Sikuletwa hapa kwa bahati mbaya,... Nitawatia ndani wote, na hakuna mtetezi wenu,.. Wewe mama unanisikia, hauna wa kukutetea..." By Paul Makonda
My take; kauli hii aliitoa December 2016 wakati wa ziara zake za kikazi katika Mkoa wa Dar es salaam, moja ya kauli mbovu kati ya nyingi mbovu na za hovyo kutolewa na kiongozi wa umma, kauli iliyokosa utu, heshima na nidhamu kwa wale anao waongoza, huyu RC ni mzigo kwa Watanzania.