Kauli hii ya Kardinal Pengo,inatukumbusha "upande wa pili" wa Kanisa Katoliki

View attachment 451101

Watu wametweta,wamekasirika na wengine wamefura kwa maneno mazitomazito kwa kauli ya Mwadhama P. Kardinal Pengo.Yeye Pengo kama baba wa kiroho na kiongozi wa waumini wa kanisa katoliki jimbo la Dsm hakubaliani na kauli kuwa sasa "Hela imekuwa adimu mifukoni" na sasa "maisha yamekuwa magumu tilatila".

Mbele ya mimbari ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph,baba mlishi wa Yesu Kristo,fundi selemala wa Nazareth,Kardinali Pengo anapiga msumari wa moto ktk mioyo ya waumini wake.Waumini walioanza kukata tamaa na kutegemea maneno ya faraja toka kwa baba wa kiroho,wanakutana na kauli ngumungumu zinazowaumiza.

Pengine wale "waumini rasharasha" wameanza kunung'unika,wanasononeka kwa taharuki,wanajiuliza,kama huyu tuliomtegemea atusemee,mbona anatukatisha tamaa na kutokuwa upande wetu?Inastua...lkn inakatisha tamaa,pale ambapo wengi tunaongea lugha moja ya "hela imekuwa adimu",mwingine anasema "hela inazagaa",na hata akiitisha harambee,anavuka malengo ya kile alichokusudia kukusanya.

Na hii inawastua wengi,sababu siku moja kabla ya kauli hiyo,kuna watu walitembelewa nyumbani kwao.Dhumuni la ujio wa ugeni ilikuwa ni "kutoa pole ya msiba".Na hakika si tu pole,baada ya pole huwa na habari za mengineyo,hayo mengineyo hubaki kuwa siri ya mfiwa na mfariji.Waunganisha matukio wanaweza kuunganisha hizi kauli na ujio wa "kutoa pole".Na wakishaunganisha,basi wanarudi nyuma katika maandishi ya kitabu cha "How The Church and Government Got The Same Bed"

Wakati wa utawala wa Kifashisti kule Italia,Mussolini aliona tishio la Kanisa Katoliki ktk kufikia malengo yake.Maana kwa wakati ule,kanisa lilikuwa na "kontroo "ya maisha ya kiroho na serikali ilikuwa na "kontroo" ya maisha ya kisiasa.

Alichokifanya Mussolin ni kujipendekeza kwa kanisa na kutoa "rushwa" ili yote atakayoyafanya kanisa katoliki lililokuwa na nguvu sana Italia libaki kimyaa.Alifanikiwa...

Kwanza aliamua kumbatiza mwanae wa kiume,ambaye hapo awali hakuwa amebatizwa.Hapa akaliteka kanisa kwa karata ya kwanza.

Pili alimua kufunga ndoa ya kikanisa,baada ya kuwa amekaa miaka 11 na ndoa ya "bomani" na mkewe Rachele.Hii ikawa karata ya pili ya kujisogeza na kujiweka karibu na kanisa ili kutimiza malengo yake ya ufashisti.

Karata nyingine;aliamuru kufungwa kwa maduka yote ya vileo(wine shops) na kufuta leseni za clabu zote za usiku ili kuendana na kauli ya kanisa ya kupunguza uovu mitaani kwa ulevi na anasa za usiku.Hapa kanisa katoliki likanasa mtegoni.

Alienda mbali mpaka akatangaza kuwa "Public Swearing" kama "Public Crime"...Yaani mwananchi ukiwa mtaani umnabishana,mtu akikwambia sema haki ya Mungu...Ukisema tu "Haki ya Mungu ntayafunga majizi yote,msema kweli ni mpenzi wa Mungu".Basi ujue wewe una kesi ya jinai ya kujibu.Hapa alitaka kulifurahisha kanisa kwa amri ile ya "Usitaje bure jina la bwana Mungu wako"(Kwa hiyo amri hiyo ingekuwa enzi hizi,kuna mtu angekuwa jela zamaniii(kidding))

Mussolini akaamuru kupigwa marufuku vidonge vya majira na kampeni zote za matumizi ya uzazi wa mpango kama ulivyo msimamo wa kanisa.Wakati huo wa 1920's kanisa lilitaka wanawake wabaki nyumbani ili kulea watoto na kukuza familia vyema.Mussolini akalipigia chapuo hili na kulitungia sheria ili kuwafurahisha wazee wa kanisa.

Akatunga sheria ambayo ilifutilia mbali talaka kwa ndoa hata za bomani.Hii ilikuwa ni njia ya kuungana na kanisa ktk ndoa ya mke mmoja na isiyo na talaka mpaka Mungu awatenganishe.Ndoana hii ikanasa vizuri kwa kanisa.Hawakupepesuka wala kutikisika.Mambo yote ya ndoa yakaondolewa serikalini na kubaki kuwa in "Full Control of the Catholic Church".Wale wapenda mteremko wa ndoa za bomani wakakosa pa kwenda.

Akatoa 109 acres ktk mji wa Roma ili yajengwe makao makuu ya Papa(Vatican) baada ya kuwa yalipokonywa wakati wa "Unification of Italy" ya miaka ya 1870's,na akaamuru kanisa lilipwe zaidi ya £130 milioni kwa wakati ule.Hii ilikuwa ni ndoano iliyoingia sawasawa kwa kanisa,na kanisa halikusema lolote juu ya "ufashisti" wa Mussolini hadharani;japo liliouona na kuuhisi kwake na kwa waumini wake.

Vatican ikawa nchi ndani ya mji,wakapewa mamlaka juu ya Post Office,jeshi dogo,polisi na "Rail station".Baada ya hapo,ugomvi ukawa ni nani anatakiwa "kukontrol" Elimu?Mussolini alihitaji elimu ili apandikize "ufashist" kwa watoto,na kanisa lilitaka elimu ili kupandikiza "dini" kwa watoto.

Mambo haya yote ambayo baadae,waumini wasio "rasharasha" waliona ni kama "rushwa" kwa kanisa ili liweze kusifia na kukaa kimya juu ya "serikali ya kifashisti" ya Mussolin yalifanikiwa.Si ajabu Papa John Paul II alikuja kuiomba jumuiya ya waumini na wasio waumini ktk jubilei ya miaka 2000 ya Ukristo kwa yale yote kanisa iliyoyakosea ktk kukuwa kwake.

Hakukuwa na Kardinali,askofu wala kasisi(padre) aliyeikemea serikali isiyo ya kidemokarasia ya Utawala wa Mussolini.Mengi yalitokea na kanisa lilikaa kimyaaa.Waumini waliteseka,waliumia na walipata machungu ya maisha...Lakini kanisa lilisema "hewalaaa",huu ni utawala mzuri tu,maana "umerudisha" heshima ya Papa katika nchi ya Italia.

Hatumaanishi kuwa sasa Tanzania tuna "ufashisti",lakini tunakubaliana kuwa kwa sasa Tanzania maisha ni magumu,pesa imepotea na uchumi umenyambulika na kutikisika.Hii inaweza kuwa ni matokeo ya kipindi cha mpito kuelekea uchumi wa viwanda,lakini haiwezi kuwa sababu ya kutokusema ukweli kuwa "HALI NI NGUMU"

Kama hali hii ni kwa sababu mianya yote ya wapiga dili imefunikwa basi na tusema,na sio kusema kinyume chake.Kuwa baba wa kiroho na kuongea kinyume cha yale waumini wako ambao ni sehemu ya wananchi wa Tanzania wanalalamika,ni kuwa upande wa pili badala ya ule wa waumini wako.

Ndio maana wale wanafunzi wa historia ya kale,wanaweza kustuka.Kwamba kauli hii inakuja siku kadhaa baada ya mtu kutembelewa nyumbani kwake,inaweza kuwatia watu woga.Kanisa libaki kuwa mali ya waumini wanyonge,liachane na "urafiki" wa mashaka kama ule wa "Mussolini" na "Vatican" enzi hizo za zama za giza za Ulaya.

Kama kanisa la wakati huo lilibaki kimya juu ya "ufashisti" wa Benitho Mussolini,hili la kwetu la Tanzania,lisibaki kimya juu ya "Ugumu wa maisha na hali mbaya ya Uchumi" kwa waumini wake.Kutoa kauli za aina hii hadharani,mbele ya mimbari na katika altare takatifu,inatupa mashaka na tutaamua kurudi na kupekua kurasa za kitabu cha "How The Church and Government Got The Same Bed"

Tukizifunua kurasa hizi;Tutahitimisha kwa kusema "Pengo ameongea lile alilotumwa kuongea na sio alilojituma kulitumikia"

Tutamkumbusha Pengo kuwa kuutumikia mwili ni ghalama zaidi ya kuitumikia roho.Ndio maana Lugha Mama ya Kanisa ya Kilatini ikasema "Nemo Liber Est Qui Corpori Servit"(No One is Free who is a slave of his body)

Tuitumikie Roho inayodumu milele,kuliko mwili unaooza na kuliwa na nyenyere.
Barafu hata Napoleon Bonaparte the Great....aliliogopa kanisa. He was a Godless person...I suspect a freemansory....
He concurred almost everything but not Vatican. Kanisa ni institution ya aina yake
 
Mi kaswali kangu ni kale kale,huyu barafu ni mtu mmoja au ni kakikundi ka watu wenye ufahamu wa mambo mbalimbali humu Jf wanamua kumwaga data mbalimbali
Mkuu barafu karibu kwa majibu
Mkuu swali zuri lakini jibu peleka mtoto international lipa ada kubwa wekeza kwenye akili....
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kanisa katoliki ukilifuatilia mara zote unagundua kuwa lina dalili zote za kula mlungula. Sishangai hii kauli ya pengo inayokinzana na uhalisia wa wananchi wengi ambao ndio waumini kwa gharama tu ya kutembelewa nyumbani.
mkiambiwa ukweli mnaanza kutoa mapovu, ni mtanzania yupi aliyepunguziwa mshahara?, ni bidhaa gani unayozalisha iliyoshuka bei na kuiathiri mapato yako?Mnataka kumlisha maneno mtumikia Mungu?. Laana iko juu yenu
 
View attachment 451101

Watu wametweta,wamekasirika na wengine wamefura kwa maneno mazitomazito kwa kauli ya Mwadhama P. Kardinal Pengo.Yeye Pengo kama baba wa kiroho na kiongozi wa waumini wa kanisa katoliki jimbo la Dsm hakubaliani na kauli kuwa sasa "Hela imekuwa adimu mifukoni" na sasa "maisha yamekuwa magumu tilatila".

Mbele ya mimbari ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph,baba mlishi wa Yesu Kristo,fundi selemala wa Nazareth,Kardinali Pengo anapiga msumari wa moto ktk mioyo ya waumini wake.Waumini walioanza kukata tamaa na kutegemea maneno ya faraja toka kwa baba wa kiroho,wanakutana na kauli ngumungumu zinazowaumiza.

Pengine wale "waumini rasharasha" wameanza kunung'unika,wanasononeka kwa taharuki,wanajiuliza,kama huyu tuliomtegemea atusemee,mbona anatukatisha tamaa na kutokuwa upande wetu?Inastua...lkn inakatisha tamaa,pale ambapo wengi tunaongea lugha moja ya "hela imekuwa adimu",mwingine anasema "hela inazagaa",na hata akiitisha harambee,anavuka malengo ya kile alichokusudia kukusanya.

Na hii inawastua wengi,sababu siku moja kabla ya kauli hiyo,kuna watu walitembelewa nyumbani kwao.Dhumuni la ujio wa ugeni ilikuwa ni "kutoa pole ya msiba".Na hakika si tu pole,baada ya pole huwa na habari za mengineyo,hayo mengineyo hubaki kuwa siri ya mfiwa na mfariji.Waunganisha matukio wanaweza kuunganisha hizi kauli na ujio wa "kutoa pole".Na wakishaunganisha,basi wanarudi nyuma katika maandishi ya kitabu cha "How The Church and Government Got The Same Bed"

Wakati wa utawala wa Kifashisti kule Italia,Mussolini aliona tishio la Kanisa Katoliki ktk kufikia malengo yake.Maana kwa wakati ule,kanisa lilikuwa na "kontroo "ya maisha ya kiroho na serikali ilikuwa na "kontroo" ya maisha ya kisiasa.

Alichokifanya Mussolin ni kujipendekeza kwa kanisa na kutoa "rushwa" ili yote atakayoyafanya kanisa katoliki lililokuwa na nguvu sana Italia libaki kimyaa.Alifanikiwa...

Kwanza aliamua kumbatiza mwanae wa kiume,ambaye hapo awali hakuwa amebatizwa.Hapa akaliteka kanisa kwa karata ya kwanza.

Pili alimua kufunga ndoa ya kikanisa,baada ya kuwa amekaa miaka 11 na ndoa ya "bomani" na mkewe Rachele.Hii ikawa karata ya pili ya kujisogeza na kujiweka karibu na kanisa ili kutimiza malengo yake ya ufashisti.

Karata nyingine;aliamuru kufungwa kwa maduka yote ya vileo(wine shops) na kufuta leseni za clabu zote za usiku ili kuendana na kauli ya kanisa ya kupunguza uovu mitaani kwa ulevi na anasa za usiku.Hapa kanisa katoliki likanasa mtegoni.

Alienda mbali mpaka akatangaza kuwa "Public Swearing" kama "Public Crime"...Yaani mwananchi ukiwa mtaani umnabishana,mtu akikwambia sema haki ya Mungu...Ukisema tu "Haki ya Mungu ntayafunga majizi yote,msema kweli ni mpenzi wa Mungu".Basi ujue wewe una kesi ya jinai ya kujibu.Hapa alitaka kulifurahisha kanisa kwa amri ile ya "Usitaje bure jina la bwana Mungu wako"(Kwa hiyo amri hiyo ingekuwa enzi hizi,kuna mtu angekuwa jela zamaniii(kidding))

Mussolini akaamuru kupigwa marufuku vidonge vya majira na kampeni zote za matumizi ya uzazi wa mpango kama ulivyo msimamo wa kanisa.Wakati huo wa 1920's kanisa lilitaka wanawake wabaki nyumbani ili kulea watoto na kukuza familia vyema.Mussolini akalipigia chapuo hili na kulitungia sheria ili kuwafurahisha wazee wa kanisa.

Akatunga sheria ambayo ilifutilia mbali talaka kwa ndoa hata za bomani.Hii ilikuwa ni njia ya kuungana na kanisa ktk ndoa ya mke mmoja na isiyo na talaka mpaka Mungu awatenganishe.Ndoana hii ikanasa vizuri kwa kanisa.Hawakupepesuka wala kutikisika.Mambo yote ya ndoa yakaondolewa serikalini na kubaki kuwa in "Full Control of the Catholic Church".Wale wapenda mteremko wa ndoa za bomani wakakosa pa kwenda.

Akatoa 109 acres ktk mji wa Roma ili yajengwe makao makuu ya Papa(Vatican) baada ya kuwa yalipokonywa wakati wa "Unification of Italy" ya miaka ya 1870's,na akaamuru kanisa lilipwe zaidi ya £130 milioni kwa wakati ule.Hii ilikuwa ni ndoano iliyoingia sawasawa kwa kanisa,na kanisa halikusema lolote juu ya "ufashisti" wa Mussolini hadharani;japo liliouona na kuuhisi kwake na kwa waumini wake.

Vatican ikawa nchi ndani ya mji,wakapewa mamlaka juu ya Post Office,jeshi dogo,polisi na "Rail station".Baada ya hapo,ugomvi ukawa ni nani anatakiwa "kukontrol" Elimu?Mussolini alihitaji elimu ili apandikize "ufashist" kwa watoto,na kanisa lilitaka elimu ili kupandikiza "dini" kwa watoto.

Mambo haya yote ambayo baadae,waumini wasio "rasharasha" waliona ni kama "rushwa" kwa kanisa ili liweze kusifia na kukaa kimya juu ya "serikali ya kifashisti" ya Mussolin yalifanikiwa.Si ajabu Papa John Paul II alikuja kuiomba jumuiya ya waumini na wasio waumini ktk jubilei ya miaka 2000 ya Ukristo kwa yale yote kanisa iliyoyakosea ktk kukuwa kwake.

Hakukuwa na Kardinali,askofu wala kasisi(padre) aliyeikemea serikali isiyo ya kidemokarasia ya Utawala wa Mussolini.Mengi yalitokea na kanisa lilikaa kimyaaa.Waumini waliteseka,waliumia na walipata machungu ya maisha...Lakini kanisa lilisema "hewalaaa",huu ni utawala mzuri tu,maana "umerudisha" heshima ya Papa katika nchi ya Italia.

Hatumaanishi kuwa sasa Tanzania tuna "ufashisti",lakini tunakubaliana kuwa kwa sasa Tanzania maisha ni magumu,pesa imepotea na uchumi umenyambulika na kutikisika.Hii inaweza kuwa ni matokeo ya kipindi cha mpito kuelekea uchumi wa viwanda,lakini haiwezi kuwa sababu ya kutokusema ukweli kuwa "HALI NI NGUMU"

Kama hali hii ni kwa sababu mianya yote ya wapiga dili imefunikwa basi na tusema,na sio kusema kinyume chake.Kuwa baba wa kiroho na kuongea kinyume cha yale waumini wako ambao ni sehemu ya wananchi wa Tanzania wanalalamika,ni kuwa upande wa pili badala ya ule wa waumini wako.

Ndio maana wale wanafunzi wa historia ya kale,wanaweza kustuka.Kwamba kauli hii inakuja siku kadhaa baada ya mtu kutembelewa nyumbani kwake,inaweza kuwatia watu woga.Kanisa libaki kuwa mali ya waumini wanyonge,liachane na "urafiki" wa mashaka kama ule wa "Mussolini" na "Vatican" enzi hizo za zama za giza za Ulaya.

Kama kanisa la wakati huo lilibaki kimya juu ya "ufashisti" wa Benitho Mussolini,hili la kwetu la Tanzania,lisibaki kimya juu ya "Ugumu wa maisha na hali mbaya ya Uchumi" kwa waumini wake.Kutoa kauli za aina hii hadharani,mbele ya mimbari na katika altare takatifu,inatupa mashaka na tutaamua kurudi na kupekua kurasa za kitabu cha "How The Church and Government Got The Same Bed"

Tukizifunua kurasa hizi;Tutahitimisha kwa kusema "Pengo ameongea lile alilotumwa kuongea na sio alilojituma kulitumikia"

Tutamkumbusha Pengo kuwa kuutumikia mwili ni ghalama zaidi ya kuitumikia roho.Ndio maana Lugha Mama ya Kanisa ya Kilatini ikasema "Nemo Liber Est Qui Corpori Servit"(No One is Free who is a slave of his body)

Tuitumikie Roho inayodumu milele,kuliko mwili unaooza na kuliwa na nyenyere.

Hii formula inaweza ikakusaidia kuishi kwa Amani ktkt ya Jamii mahalia

-Usimchukie Mwanadamu yeyote..

-Usiogope..

-Ujitoe ktk Shida na Raha kwenye Jamii inayo kuzunguka..

-Yaishi Maisha rahisi kama ulivyo usitake kuishi kama walivyo...

Tukirudi kwenye Imani, wewe lugha Imani ya waumini wa Yesu inawezekana huifahamu kwa kina kwanza kwa muumini Mkristo kukiri kwamba hali ni Mbaya na kulia lia kama ufanyavyo ni kufuru, sababu Mungu ameelekeza Kushukuru kwa yoote na siku zoote tufurahi!; na Yesu Ametualika kwa wale wanaoelemewa na mizigo twende kwake tu! Ili Atutatulie Matatizo Yetu kisha tupumzike na mizigo iliyo tuleemea sababu amelaaniwa Amtegemeaye Mwanadamu mwenzie.. Ninaamini as Pengo hana Pepo ya kunipa...
 
Hili jukwaa linaitwa [HASHTAG]#JamiiInteligence[/HASHTAG]
Huku hatutukanani...Tunashindana kwa hoja;ukianza kubatiza watu majina kama "Punguani",watu wanakuwa wanashangaa kuwa wewe jukwaa kama hili si "size yako"
Acha unafki wanaofaa ni wanaomuita Pengo takataka?
 
View attachment 451101

Watu wametweta,wamekasirika na wengine wamefura kwa maneno mazitomazito kwa kauli ya Mwadhama P. Kardinal Pengo.Yeye Pengo kama baba wa kiroho na kiongozi wa waumini wa kanisa katoliki jimbo la Dsm hakubaliani na kauli kuwa sasa "Hela imekuwa adimu mifukoni" na sasa "maisha yamekuwa magumu tilatila".

Mbele ya mimbari ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph,baba mlishi wa Yesu Kristo,fundi selemala wa Nazareth,Kardinali Pengo anapiga msumari wa moto ktk mioyo ya waumini wake.Waumini walioanza kukata tamaa na kutegemea maneno ya faraja toka kwa baba wa kiroho,wanakutana na kauli ngumungumu zinazowaumiza.

Pengine wale "waumini rasharasha" wameanza kunung'unika,wanasononeka kwa taharuki,wanajiuliza,kama huyu tuliomtegemea atusemee,mbona anatukatisha tamaa na kutokuwa upande wetu?Inastua...lkn inakatisha tamaa,pale ambapo wengi tunaongea lugha moja ya "hela imekuwa adimu",mwingine anasema "hela inazagaa",na hata akiitisha harambee,anavuka malengo ya kile alichokusudia kukusanya.

Na hii inawastua wengi,sababu siku moja kabla ya kauli hiyo,kuna watu walitembelewa nyumbani kwao.Dhumuni la ujio wa ugeni ilikuwa ni "kutoa pole ya msiba".Na hakika si tu pole,baada ya pole huwa na habari za mengineyo,hayo mengineyo hubaki kuwa siri ya mfiwa na mfariji.Waunganisha matukio wanaweza kuunganisha hizi kauli na ujio wa "kutoa pole".Na wakishaunganisha,basi wanarudi nyuma katika maandishi ya kitabu cha "How The Church and Government Got The Same Bed"

Wakati wa utawala wa Kifashisti kule Italia,Mussolini aliona tishio la Kanisa Katoliki ktk kufikia malengo yake.Maana kwa wakati ule,kanisa lilikuwa na "kontroo "ya maisha ya kiroho na serikali ilikuwa na "kontroo" ya maisha ya kisiasa.

Alichokifanya Mussolin ni kujipendekeza kwa kanisa na kutoa "rushwa" ili yote atakayoyafanya kanisa katoliki lililokuwa na nguvu sana Italia libaki kimyaa.Alifanikiwa...

Kwanza aliamua kumbatiza mwanae wa kiume,ambaye hapo awali hakuwa amebatizwa.Hapa akaliteka kanisa kwa karata ya kwanza.

Pili alimua kufunga ndoa ya kikanisa,baada ya kuwa amekaa miaka 11 na ndoa ya "bomani" na mkewe Rachele.Hii ikawa karata ya pili ya kujisogeza na kujiweka karibu na kanisa ili kutimiza malengo yake ya ufashisti.

Karata nyingine;aliamuru kufungwa kwa maduka yote ya vileo(wine shops) na kufuta leseni za clabu zote za usiku ili kuendana na kauli ya kanisa ya kupunguza uovu mitaani kwa ulevi na anasa za usiku.Hapa kanisa katoliki likanasa mtegoni.

Alienda mbali mpaka akatangaza kuwa "Public Swearing" kama "Public Crime"...Yaani mwananchi ukiwa mtaani umnabishana,mtu akikwambia sema haki ya Mungu...Ukisema tu "Haki ya Mungu ntayafunga majizi yote,msema kweli ni mpenzi wa Mungu".Basi ujue wewe una kesi ya jinai ya kujibu.Hapa alitaka kulifurahisha kanisa kwa amri ile ya "Usitaje bure jina la bwana Mungu wako"(Kwa hiyo amri hiyo ingekuwa enzi hizi,kuna mtu angekuwa jela zamaniii(kidding))

Mussolini akaamuru kupigwa marufuku vidonge vya majira na kampeni zote za matumizi ya uzazi wa mpango kama ulivyo msimamo wa kanisa.Wakati huo wa 1920's kanisa lilitaka wanawake wabaki nyumbani ili kulea watoto na kukuza familia vyema.Mussolini akalipigia chapuo hili na kulitungia sheria ili kuwafurahisha wazee wa kanisa.

Akatunga sheria ambayo ilifutilia mbali talaka kwa ndoa hata za bomani.Hii ilikuwa ni njia ya kuungana na kanisa ktk ndoa ya mke mmoja na isiyo na talaka mpaka Mungu awatenganishe.Ndoana hii ikanasa vizuri kwa kanisa.Hawakupepesuka wala kutikisika.Mambo yote ya ndoa yakaondolewa serikalini na kubaki kuwa in "Full Control of the Catholic Church".Wale wapenda mteremko wa ndoa za bomani wakakosa pa kwenda.

Akatoa 109 acres ktk mji wa Roma ili yajengwe makao makuu ya Papa(Vatican) baada ya kuwa yalipokonywa wakati wa "Unification of Italy" ya miaka ya 1870's,na akaamuru kanisa lilipwe zaidi ya £130 milioni kwa wakati ule.Hii ilikuwa ni ndoano iliyoingia sawasawa kwa kanisa,na kanisa halikusema lolote juu ya "ufashisti" wa Mussolini hadharani;japo liliouona na kuuhisi kwake na kwa waumini wake.

Vatican ikawa nchi ndani ya mji,wakapewa mamlaka juu ya Post Office,jeshi dogo,polisi na "Rail station".Baada ya hapo,ugomvi ukawa ni nani anatakiwa "kukontrol" Elimu?Mussolini alihitaji elimu ili apandikize "ufashist" kwa watoto,na kanisa lilitaka elimu ili kupandikiza "dini" kwa watoto.

Mambo haya yote ambayo baadae,waumini wasio "rasharasha" waliona ni kama "rushwa" kwa kanisa ili liweze kusifia na kukaa kimya juu ya "serikali ya kifashisti" ya Mussolin yalifanikiwa.Si ajabu Papa John Paul II alikuja kuiomba jumuiya ya waumini na wasio waumini ktk jubilei ya miaka 2000 ya Ukristo kwa yale yote kanisa iliyoyakosea ktk kukuwa kwake.

Hakukuwa na Kardinali,askofu wala kasisi(padre) aliyeikemea serikali isiyo ya kidemokarasia ya Utawala wa Mussolini.Mengi yalitokea na kanisa lilikaa kimyaaa.Waumini waliteseka,waliumia na walipata machungu ya maisha...Lakini kanisa lilisema "hewalaaa",huu ni utawala mzuri tu,maana "umerudisha" heshima ya Papa katika nchi ya Italia.

Hatumaanishi kuwa sasa Tanzania tuna "ufashisti",lakini tunakubaliana kuwa kwa sasa Tanzania maisha ni magumu,pesa imepotea na uchumi umenyambulika na kutikisika.Hii inaweza kuwa ni matokeo ya kipindi cha mpito kuelekea uchumi wa viwanda,lakini haiwezi kuwa sababu ya kutokusema ukweli kuwa "HALI NI NGUMU"

Kama hali hii ni kwa sababu mianya yote ya wapiga dili imefunikwa basi na tusema,na sio kusema kinyume chake.Kuwa baba wa kiroho na kuongea kinyume cha yale waumini wako ambao ni sehemu ya wananchi wa Tanzania wanalalamika,ni kuwa upande wa pili badala ya ule wa waumini wako.

Ndio maana wale wanafunzi wa historia ya kale,wanaweza kustuka.Kwamba kauli hii inakuja siku kadhaa baada ya mtu kutembelewa nyumbani kwake,inaweza kuwatia watu woga.Kanisa libaki kuwa mali ya waumini wanyonge,liachane na "urafiki" wa mashaka kama ule wa "Mussolini" na "Vatican" enzi hizo za zama za giza za Ulaya.

Kama kanisa la wakati huo lilibaki kimya juu ya "ufashisti" wa Benitho Mussolini,hili la kwetu la Tanzania,lisibaki kimya juu ya "Ugumu wa maisha na hali mbaya ya Uchumi" kwa waumini wake.Kutoa kauli za aina hii hadharani,mbele ya mimbari na katika altare takatifu,inatupa mashaka na tutaamua kurudi na kupekua kurasa za kitabu cha "How The Church and Government Got The Same Bed"

Tukizifunua kurasa hizi;Tutahitimisha kwa kusema "Pengo ameongea lile alilotumwa kuongea na sio alilojituma kulitumikia"

Tutamkumbusha Pengo kuwa kuutumikia mwili ni ghalama zaidi ya kuitumikia roho.Ndio maana Lugha Mama ya Kanisa ya Kilatini ikasema "Nemo Liber Est Qui Corpori Servit"(No One is Free who is a slave of his body)

Tuitumikie Roho inayodumu milele,kuliko mwili unaooza na kuliwa na nyenyere.

= gharama
 
Back
Top Bottom