Elections 2010 Kauli hii ya JK yaashiria nini.............. Mbona anajibu maswali hewa?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Mwanasaikolojia maarufu nchini Marekani aitwaye Phil McGraw aliwahi kusema kwenye mada zake tuwe waangalifu sana na watu wanaojibu hoja ambazo wala hawajaulizwa.

Alisema mtu anapoanza kujibu maswali ambayo hajaulizwa inaashiria nafsi yake inamsuta na anaona umuhimu wa kujitetea bila ya hata ya kuulizwa. Hivyo majibu yake yachunguzwe ili kufahamu nini kinamsumbua mhusika huyo.

Nikitumia mbinu hiyo ya Dr. Phil kwa JK nimeona kauli zake zimebadilika mno nikilinganisha sasa na mwaka 2005. Sasa hivi JK anaona umuhimu wa kutuhakikishia ya kuwa atashinda hali ambayo hakuwa nayo mwaka 2005. Yamemsibu nini? Kama ushindi hauna wasiwasi kwa nini anatuelezea sisi. Si asiandikie mate na huku wino upo?

Kwa lugha nyingine ni kwa nini anajibu maswali ambayo hajaulizwa? Hakuna aliyemuuliza kama hatashindwa au atashinda sasa haya majibu yanatoka wapi?

Kwa kujibu maswali ambayo hatujamuuliza na ambayo mwaka 2005 hakuona shinikizo la kuyajibu kwa vile hapakuwepo upinzani tishio ni dhahiri maji yamemfika kwenye koromeo na anaona kuna uhaja wa kujifariji na ushindi njozi angalau kutoka kwenye kinywa chake.................

Hii siyo hali nzuri hata kidogo kisaikolojia kwa JK na CCM yake.............Kujihami kwa kujifariji.....

Inaonyesha ni dalili za awali za kuanza kukiri kuwa huenda Jk na CCM yake wataanguka na ndiyo maana wanapata mashinikizo ya kujibu hoja ambazo hata hazipo mezani....................

Twendeleeni kuwasoma kwa ukaribu wastaafu hawa watarajiwa............ili kwenye historia zetu tuje tuweke rekodi vizuri wakati tunajibu swali............Hivi ni lini jamii ilielewa JK na CCM yake sasa imetosha?
 
kwani wewwe hujui huyu bwana unayemsema ana-matatizo ya upstairz banaaa..yes ....ndiooooo...aliwahi kupata brain damage wakati akifanya mazoezi jeshini...au wewe hujui huyo ni mwanajeshi kama alivyo dictator mu7 na ka-gemu.... SAHIVI KAFUNIKA CHEO CHAKE CHA KIJESHI NA U-DR WA KUPEWA HAPO NAIROBI KWA MSHKAJI WAKE KALONZO MUSYOKA....

Hivi ulikuwa hata hujui kesha-anguka majukwaani na nje ya nchi mara-kibao tuu..achilia mbali kuanguka ndani kwake ambako nyeti hazitufikii kiraisi.... hivi wewe hata hujiulizi iweje mtu anaanguka zaidi ya mara 4 in 6 years na daktari wake anatuambia kuwa amechoka na mfungo mara ohh amechoka na kampeni mara ohhh kazi nying anasafiri sanaaa...

kwani anatembea kwa miguu au anatumia usafiri wa hali ya juu kwa hadhi yake ya u-presdaa na uwaziri wa mambo ya nje aliokuwa nao.....daktari wake anaogopa kusema ukweli kuwa nchi inaongozwa na mgonjwa wa ubongo hence...@#$zi.... hivi wewe hujui wenzetu nchi zilizoendelea matatizo ya ubongo wanatangaza uchaguzi fastaaa...ndioooo... hebu ulizia hapo USA huwa wanafanyaje.....

VOTE FOR SLAA CHANGES WE CAN
 
We need to watch and evaluate each and every move he makes to unveil the man behind the mirror.................................
 
makamba amemwambia kuwa mambo sio mazuri,pia watu wake wa karibu wameshamwambia kuwa mambo sio mazuri,so ANAJIKOSHA
 
Mwanasaikolojia maarufu nchini Marekani aitwaye Phil McGraw aliwahi kusema kwenye mada zake tuwe waangalifu sana na watu wanaojibu hoja ambazo wala hawajaulizwa.

Alisema mtu anapoanza kujibu maswali ambayo hajaulizwa inaashiria nafsi yake inamsuta na anaona umuhimu wa kujitetea bila ya hata ya kuulizwa. Hivyo majibu yake yachunguzwe ili kufahamu nini kinamsumbua mhusika huyo.

Nikitumia mbinu hiyo ya Dr. Phil kwa JK nimeona kauli zake zimebadilika mno nikilinganisha sasa na mwaka 2005. Sasa hivi JK anaona umuhimu wa kutuhakikishia ya kuwa atashinda hali ambayo hakuwa nayo mwaka 2005. Yamemsibu nini? Kama ushindi hauna wasiwasi kwa nini anatuelezea sisi. Si asiandikie mate na huku wino upo?

Kwa lugha nyingine ni kwa nini anajibu maswali ambayo hajaulizwa? Hakuna aliyemuuliza kama hatashindwa au atashinda sasa haya majibu yanatoka wapi?

Kwa kujibu maswali ambayo hatujamuuliza na ambayo mwaka 2005 hakuona shinikizo la kuyajibu kwa vile hapakuwepo upinzani tishio ni dhahiri maji yamemfika kwenye koromeo na anaona kuna uhaja wa kujifariji na ushindi njozi angalau kutoka kwenye kinywa chake.................

Hii siyo hali nzuri hata kidogo kisaikolojia kwa JK na CCM yake.............Kujihami kwa kujifariji.....

Inaonyesha ni dalili za awali za kuanza kukiri kuwa huenda Jk na CCM yake wataanguka na ndiyo maana wanapata mashinikizo ya kujibu hoja ambazo hata hazipo mezani....................

Twendeleeni kuwasoma kwa ukaribu wastaafu hawa watarajiwa............ili kwenye historia zetu tuje tuweke rekodi vizuri wakati tunajibu swali............Hivi ni lini jamii ilielewa JK na CCM yake sasa imetosha?

Kama ulivyosema hapo juu, ukiona mtu anaanza kujibu ambacho hajaulizwa kuna kitu anakitengeneza. Wakati anazindua kampeini za CCM au mtandao wa kuchangia CCM (any of the two) aliongea kwa ukali kuhusu wana CCM wanao'underestimate' nguvu ya vyama shindani. Alisema watu wasidhani hawawezi kushindwa na akawasihi wasijidanganye bali waamke. Sasa hivi anasema 'ushindi ni wa lazima'! Swali: kwa nini anafanya kampeni? Kwa nini anawasihi watu wawachague wagombea wa CCM? Inawezekana atashinda lakini kama hakuna kuiba kura sidhani!
 
yaani kama mimi ningekuwa raisi ingenyonga mafisadi wote hadharani tena sio kitanzi ni kuchinja
 
twende na wakati............ameshasoma alama za nyakati nkuwa amekalia kuti kavu kwani watz wa leo sio wale wadanganyika waliokuwa wanadanganyika kwa pilau na pombe za ccm
 
what we need now is changes!ugonjwa ni wake ataji j j mwenyenye mzee wa mipasho na kiduku duh.
 
Safi sana chaguaaaaaaaaaaaaaaaaa CHADEMA Mpe kura za ndiyo ( real PhD) Dr Willbrod Slaaa (PhD) Yes Chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we can:A S thumbs_up:
 
Back
Top Bottom