Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Vitu vingine msiwe mnaongea mbele ya wanaume wenzenu tuna aibishana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa "Kisanga na mbwai"Imagine mama huyo awe Heaven Sent
Kuna vitu wanaume huwa tunafanya sisi tunaona ni sawa lakini sio sawa aisee....wanawake wanavumilia mengi sana....umepiga balimi zako unarudi usiku unanuka pombe bado atakukiss na mzigo utapiga...hebu jiweke kwenye nafasi yake...umekaa gheto anakuja ameshapiga balimi kadhaa....viroba au Konyagi...utampokea umkumbatie na kumla mate??? ni wanaume wachache sana watakubaliana na hiyo harufu....sio kwamba hapendi unywe....anataka ukifika "Afurahie mapenzi" tena ukifika upige mswaki asb, mchana na jioni.....sio kumpulia mabalimi yako mpk mwenzako analewa bila kunywa!!Hapana mkuu sitapungukiwa kitu
Elewa kiini na kero ya mtoa mada ilipo.. Ndo maana ulifeli..Kwani usipokunywa hizo siku ukiwa kwake utapungukiwa damu?
Hujamuelewa mtoa mada..Mkuu sasa kutokunywa pombe kuna ubaya mi nilijua ataki umtembelehe jua anakusaidia sana labda anajua kuwa pombe ndio adui wa maendeleo yako ndio maana ataki unywe jua hivyo ni vikwazo kama vya UN ukijipindu unaongezewa vikwazo anza kuwa baba kununua majukumu ata kama ni kilo moja ya unga au sukari wanawake wanapenda huduma ata ikiwa ndogo kwao nakuambia jitahidi huduma vizawadi vikwazo vitapungua
Mwingine huyuu..
Kashapata watu wanamkuna huko...
Mkuu sijampa kero ebu soma thread yangu vizuri utanielewa,pia mm sio Mario coz naishi maisha yangu na sikai nae muda mrefu sasa ,na kabla hajapata kazi mi ndo nlikua namlea wakati huo nipo chuo,but mwenzangu kabahatika kuajiriwa mapema na salary ya nguvu so kuna vimaneno maneno vinaibuka dats y hata kukaa nae nyumba moja naona ataniona mzigo tu so napambana na hali yangu ninapopata kidogo ndo kama hivyo naenda kusalimia familia napewa na masharti kabisakwanza we mario pili we ni rofaa haiwekan uzae na mwanamke afu akuzuie kumuona mwanao, tatu wewe ni jinga jinga flan hiv kwanini umpe karaha ya pombe mwenzako wakati yeye hatumii na unaenda kwake sijapata ona mtu asiye jielewa kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole....
Ila ningekuwa mimi nafkiri ningempa tusi hadi simu izime...