britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ndo nasema kwamba si KWAMBA wapinzani wote wanapenda CHADEMA wapo wanaopenda wengineMbona unaweka Za Dr.Slaa na Lowassa pekee?? Weka za upinzani wote Ili ujue watu wangapi wana probability ya kupigia upinzani whether Chadema huku Bara na ACT huko Zanzibar!!
2020 usihesabu maana hakuna chaguzi pale ilikua outright robbery..... ila tukiwa competitive utakubali tokea 2010 upinzani Umeenda Neck-and-Neck na CCM na kama alishinda CCM basi gape ni 50-60 so upinzani Una kazi ya kuongeza 10% tu ya kura zake iingie ikulu. Kuliko mnavyodai kwamba cjui hatupo vijijini sijui hatuaminiki afu kura zikipigwa ndio hatushuki 40%?