LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 861
- 1,097
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amenukuliwa wakati wa kuhutubia baraza kuu la chama kuwa chama kinatakiwa kuwa kinyenyekevu kwa vyama vingine na kuheshimu mawazo ya vyama hivyo na chadema ijikite kujenga harakati za kweli na sio kutukana vyama vingine mtandaoni na kwenye mikutano.
1. Je Kauli hii inagusa mtindo mpya wa majadiliano kwenye twitter maarufu kama space ambapo viongozi wa juu wa chadema wamesikika kutoa matamshi yao huko?
2. Mpaka kipindi cha sasa CHADEMA haitekelezi harakati za kweli katika siasa za Tanzania?
3. Chadema imefanya makosa kukaa pembeni ya kamati iliyoundwa na mheshimiwa rais?
4. Matamshi haya yanaashiria nini katika mahusiano ya uongozi wa juu wa Chadema?
Sisi ni kukaa na kusubiri
1. Je Kauli hii inagusa mtindo mpya wa majadiliano kwenye twitter maarufu kama space ambapo viongozi wa juu wa chadema wamesikika kutoa matamshi yao huko?
2. Mpaka kipindi cha sasa CHADEMA haitekelezi harakati za kweli katika siasa za Tanzania?
3. Chadema imefanya makosa kukaa pembeni ya kamati iliyoundwa na mheshimiwa rais?
4. Matamshi haya yanaashiria nini katika mahusiano ya uongozi wa juu wa Chadema?
Sisi ni kukaa na kusubiri