cabhatica
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 1,081
- 480
Nukuu kutoka gazeti la Mwananchi la Mei 11, 2012 "Asifia uwazi Balozi Sefue alisema sio kweli kuwa hivi sasa vitendo vya ubadhirifu wa mali za umma vimeongezeka bali hali hiyo inaonekana zaidi kwa sasa kwa kuwa Serikali imekuwa ikifanya mambo yake kwa uwazi mkubwa. Hivi sasa ripoti mbalimbali zinawekwa wazi bungeni na wabunge wanachangia, ripoti haziwekwi tena kabatini na hiyo ndio sababu, sio kweli kuwa matukio ya ubadhirifu yameongezeka kwa sasa, alifafanua Balozi Sefue.
Tafsiri yangu:
Hawa mawaziri waliowajibishwa(?) watakuwa wameonewa (scape goat) kwa sababu hawako peke yao. Kwa maana nyingine TAKUKURU na DCI hawatakiwi tu kuchunguza tuhuma katika ripoti za CAG zilizojadiliwa bungeni bali pia hizo zilizoko kwenye makabati. Kwa maana nyingine the net should be spread wider and date back to the Mzee ruksa's regime.
Kwa maana nyingine vita ya kuondoa ufisadi is much bigger and deeply rooted than I thought while the warriors in the forefront are few. If we dont join the fighters there is no way they are going to win the war...or at least not in the near future.
I had never thought of venturing into politics but now I have changed my mind....nitaingia huko...nitapigana kwa vile sasa ninajua nitakachokuwa ninakipigania...uhuru wa kweli wa mtanzania ili afaidi matunda ya uhuru wa utu na raslimali za nchi yake....kwenye vita kuna vifo, majeruhi n.k...lakini ushindi ni lazima kwa anayetetea haki ya wengi....dah INAUMA SANA!
Tafsiri yangu:
Hawa mawaziri waliowajibishwa(?) watakuwa wameonewa (scape goat) kwa sababu hawako peke yao. Kwa maana nyingine TAKUKURU na DCI hawatakiwi tu kuchunguza tuhuma katika ripoti za CAG zilizojadiliwa bungeni bali pia hizo zilizoko kwenye makabati. Kwa maana nyingine the net should be spread wider and date back to the Mzee ruksa's regime.
Kwa maana nyingine vita ya kuondoa ufisadi is much bigger and deeply rooted than I thought while the warriors in the forefront are few. If we dont join the fighters there is no way they are going to win the war...or at least not in the near future.
I had never thought of venturing into politics but now I have changed my mind....nitaingia huko...nitapigana kwa vile sasa ninajua nitakachokuwa ninakipigania...uhuru wa kweli wa mtanzania ili afaidi matunda ya uhuru wa utu na raslimali za nchi yake....kwenye vita kuna vifo, majeruhi n.k...lakini ushindi ni lazima kwa anayetetea haki ya wengi....dah INAUMA SANA!