Kauli gani ya Mwalimu ilikua inakukera!!?

KAULI GANI YA MWALIMU ILIKUA INAKUKERA SANA ME NAMBA 1

1. Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

2. Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe

3. Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

4. Mkimaliza kuongea niambie niendelee kufundisha

5. Baba ako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo apa

6. Wengine apa wekuja kusindikiza wenzao tu

7. Bichwa kubwa ubongo nukta

Ongeza na zingine....
Daaaa umemaloza zote😃😃😃
 
KAULI GANI YA MWALIMU ILIKUA INAKUKERA SANA ME NAMBA 1

1. Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

2. Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe

3. Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

4. Mkimaliza kuongea niambie niendelee kufundisha

5. Baba ako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo apa

6. Wengine apa wekuja kusindikiza wenzao tu

7. Bichwa kubwa ubongo nukta

Ongeza na zingine....
Kauli ya kupigana na Iddy Amin
 
Daa! Mie kwanza hata mwalimu wa drs alikuwa hanijui kabisaaa!

Walianza kujiuliza huyu nani baada ya kufumua paper mfululizo! Bila kupumzika halafu nilikuwa sijui km nafaulu vile!
Kwenda kuchukua zawadi za ushindi nilikuwa natafutwa.mara nacheza.Mara sipo shuleni! Ilimradi tu mie sijui kinachoendelea.nilikuwa mkimya sana.

Hata matokeo nilikuwa naambiwa hapa uko vizuri ndo kidooogo nikaelewa. But utoto ulinizidi hata kwenda sec. Sikujua ki viile.

Nilipelekwa tu. Form four ndo nilijitambua
 
Back
Top Bottom