MPEPE
Senior Member
- Oct 20, 2012
- 155
- 64
Daaaa umemaloza zote😃😃😃KAULI GANI YA MWALIMU ILIKUA INAKUKERA SANA ME NAMBA 1
1. Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale
2. Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe
3. Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako
4. Mkimaliza kuongea niambie niendelee kufundisha
5. Baba ako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo apa
6. Wengine apa wekuja kusindikiza wenzao tu
7. Bichwa kubwa ubongo nukta
Ongeza na zingine....