Kauli Ambazo Sizipendi kwa Upinzani

Mtoto Wabibi

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
451
294
1: J. Kikwete ni dhaifu.....Nimemmis J.kikwete

2: Mkipiga kura kalaleni nyumbani(msilinde) hawawezi kuiba kura.......Nimeibiwa kura zangu

3: Hatumtambui raisi John Magufuli.......Magufuli ni raisi dikteta

4: Paul Kagame ni raisi mwenye mafanikio na anatawala vizuri.......Paul Kagame ni dikteta na anamfundisha udikteta Magufuli

5:Lowasa ni fisadi......Lowasa nimtakatifu/kamanda

6:Mahakama ni za CCM......CHADEMA tumeshinda kesi mahakamani

8:polisi ni CCM......tumeenda polisi kwa msaada zaidi

10: Tunapinga Posho za vikao za bunge zisitolewe ............N/spika anatufanyia fitina tusichukue posho bungeni

11:Hatutahudhuria vikao vya bunge vya N/spika......Tumetoka bungeni baada tu ya kusoma dua na N/spika

Zipo nyingi sana huwa sizielewi mana zina pande mbili....leo niishe hapo ....nadhani hizi zitatumaliza katika juhudi zetu.
 
1: J. Kikwete ni dhaifu.....Nimemmis J.kikwete

2: Mkipiga kura kalaleni nyumbani(msilinde) hawawezi kuiba kura.......Nimeibiwa kura zangu

3: Hatumtambui raisi John Magufuli.......Magufuli ni raisi dikteta

4: Paul Kagame ni raisi mwenye mafanikio na anatawala vizuri.......Paul Kagame ni dikteta na anamfundisha udikteta Magufuli

5:Lowasa ni fisadi......Lowasa nimtakatifu/kamanda

6:Mahakama ni za CCM......CHADEMA tumeshinda kesi mahakamani

8:polisi ni CCM......tumeenda polisi kwa msaada zaidi

10: Tunapinga Posho za vikao za bunge zisitolewe ............N/spika anatufanyia fitina tusichukue posho bungeni

11:Hatutahudhuria vikao vya bunge vya N/spika......Tumetoka bungeni baada tu ya kusoma dua na N/spika

Zipo nyingi sana huwa sizielewi mana zina pande mbili....leo niishe hapo ....nadhani hizi zitatumaliza katika juhudi zetu.
Pole Sana
 
1: J. Kikwete ni dhaifu.....Nimemmis J.kikwete

2: Mkipiga kura kalaleni nyumbani(msilinde) hawawezi kuiba kura.......Nimeibiwa kura zangu

3: Hatumtambui raisi John Magufuli.......Magufuli ni raisi dikteta

4: Paul Kagame ni raisi mwenye mafanikio na anatawala vizuri.......Paul Kagame ni dikteta na anamfundisha udikteta Magufuli

5:Lowasa ni fisadi......Lowasa nimtakatifu/kamanda

6:Mahakama ni za CCM......CHADEMA tumeshinda kesi mahakamani

8:polisi ni CCM......tumeenda polisi kwa msaada zaidi

10: Tunapinga Posho za vikao za bunge zisitolewe ............N/spika anatufanyia fitina tusichukue posho bungeni

11:Hatutahudhuria vikao vya bunge vya N/spika......Tumetoka bungeni baada tu ya kusoma dua na N/spika

Zipo nyingi sana huwa sizielewi mana zina pande mbili....leo niishe hapo ....nadhani hizi zitatumaliza katika juhudi zetu.
Pumba H plus
 
Mbona na wewe hutumii mind yako vizuri? Hayo nayo mambo ya kuleta humu si upelekee watoto wa chekechea ujadili nao, yani na midevu yako unakuja na ka meaningless thread? Au hujui kuwa hao jamaa (cdm) mpaka wapigiwe kelele ndipo wabadilike hata xaivi unaona wamekataza shughuli za kisiasa na maandamano kwa upande wa upinzani ila micdm yenyewe inapeta tu kwani nan hajui?afu wewe ikiitwa midikiteta unakereka una akili nyanya xana we jamaa
 
Mbona na wewe hutumii mind yako vizuri? Hayo nayo mambo ya kuleta humu si upelekee watoto wa chekechea ujadili nao, yani na midevu yako unakuja na ka meaningless thread? Au hujui kuwa hao jamaa (cdm) mpaka wapigiwe kelele ndipo wabadilike hata xaivi unaona wamekataza shughuli za kisiasa na maandamano kwa upande wa upinzani ila micdm yenyewe inapeta tu kwani nan hajui?afu wewe ikiitwa midikiteta unakereka una akili nyanya xana we jamaa

upo disorganised kabisa...nina mashaka na elimu yako.kama hata kuandika hujui
 
Ni kweli kabisa mtu wangu, watu hawa hawaeleweki kabisa. Leo watasema hiki kesho wanakipinga hicho hicho walichokifanya.
 
Back
Top Bottom