Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,899
- 6,657
1: Sina Mtaji
mara nyingi mtu asiye na malengo na uthubutu hukili kukosa mtaji..hata kama anao hawez kujua aufanyie nini mana hajaweka malengo
2: Sina Connection
Mtu asiye na malengo wala uthubutu hukili pia kukosa connection'mwingine atajiuliza nitaanzia wapi?'hukili kukosa pa kuanzia..
3: Nitaanza Rasmi kesho
hahaaa..kesho ikifika anasogeza tena kesho, kumbuka kesho haziishi..kesho hutokea kila siku,( hata leo ina kesho, kesho pia ina kesho..mwendelezo wa kesho..kesho, kesho , kesho.....
4: Mimi ni wa hivi hivi tu
asiye na malengo hukili uthaufu alionao na kukubali kuendelea kuwa sehemu alipo, hawezi kupiga hatu mana yeye anaona ni wa hivo na ni wa hapo kwa sababu hana malengo na hana dira hivyo haoni pa kwenda na hahangaiki kutafuta uelekeo ( pa kutokeza) mana hana malengo na ameridhika.
5: Mifumo mibovu ya serikali ndiyo inayonirudisha nyuma
mara nyingi mtu asiye na malengo hulalamika tu, et serikali ndiyo imesababisha awe jinsi alivyo, kana kwamba serikali imefumba macho yake na fikra zake..huyo hana malengo
6: Mke/mume/ndugu zangu ndiyo waliyonirudisha nyuma kimawazo
asiye na malengo hupoteza mda kwa kulaumu na kulalamika tu bila kuchukua hatua,,japo inaweza kutokea kukutana na watu kama hawa wakawa vikwazo, ila kumbuka hawawez kukuzuia kuinuka tena na kuanza upya,, acha kushikilia makosa uliyofanyiwa,usipoteze muda kwa kulalamika na kulaumu juu ya mabaya uliyofanyiwa..utachelewa sana,, tafuta suruhisho la makosa hayo na uyatatue,,
7: Kupata ni majaliwa
hahahaa..hii ndo inachekesha sasa, huwez kujaliwa kupata bila kutafufa , ukiwa umekaa tu na kujikatia tamaa eti kupata ni majaliwa..waliyojaliwa kupata walipata baada ya kutafuta, hawakupata wakiwa wamekaa.
8: Usilazimishe mambo
kama una malengo ya jambo fulani ni lazima ufanye bidii na kulazimisha yatokee, onyesha bidii zako.
9: Kuna watu special siyo mimi
hivi hao watu special uspecial wao ukoje? Wanatofauti gani na wewe..hata wewe ni special ukiamua , usiendelee kukaa tu na kusema et kuna watu special, hata hao unaowadhani ni special waliamua kuwa special..kwa nini wewe usiamue kuwa special??
10: Sina bahati
hivi maendeleo ni kubahatisha?!mmhusibahatishe mambo, weka mipango na mikakati yako ya kutoka ( strategic plan)
mara nyingi mtu asiye na malengo na uthubutu hukili kukosa mtaji..hata kama anao hawez kujua aufanyie nini mana hajaweka malengo
2: Sina Connection
Mtu asiye na malengo wala uthubutu hukili pia kukosa connection'mwingine atajiuliza nitaanzia wapi?'hukili kukosa pa kuanzia..
3: Nitaanza Rasmi kesho
hahaaa..kesho ikifika anasogeza tena kesho, kumbuka kesho haziishi..kesho hutokea kila siku,( hata leo ina kesho, kesho pia ina kesho..mwendelezo wa kesho..kesho, kesho , kesho.....
4: Mimi ni wa hivi hivi tu
asiye na malengo hukili uthaufu alionao na kukubali kuendelea kuwa sehemu alipo, hawezi kupiga hatu mana yeye anaona ni wa hivo na ni wa hapo kwa sababu hana malengo na hana dira hivyo haoni pa kwenda na hahangaiki kutafuta uelekeo ( pa kutokeza) mana hana malengo na ameridhika.
5: Mifumo mibovu ya serikali ndiyo inayonirudisha nyuma
mara nyingi mtu asiye na malengo hulalamika tu, et serikali ndiyo imesababisha awe jinsi alivyo, kana kwamba serikali imefumba macho yake na fikra zake..huyo hana malengo
6: Mke/mume/ndugu zangu ndiyo waliyonirudisha nyuma kimawazo
asiye na malengo hupoteza mda kwa kulaumu na kulalamika tu bila kuchukua hatua,,japo inaweza kutokea kukutana na watu kama hawa wakawa vikwazo, ila kumbuka hawawez kukuzuia kuinuka tena na kuanza upya,, acha kushikilia makosa uliyofanyiwa,usipoteze muda kwa kulalamika na kulaumu juu ya mabaya uliyofanyiwa..utachelewa sana,, tafuta suruhisho la makosa hayo na uyatatue,,
7: Kupata ni majaliwa
hahahaa..hii ndo inachekesha sasa, huwez kujaliwa kupata bila kutafufa , ukiwa umekaa tu na kujikatia tamaa eti kupata ni majaliwa..waliyojaliwa kupata walipata baada ya kutafuta, hawakupata wakiwa wamekaa.
8: Usilazimishe mambo
kama una malengo ya jambo fulani ni lazima ufanye bidii na kulazimisha yatokee, onyesha bidii zako.
9: Kuna watu special siyo mimi
hivi hao watu special uspecial wao ukoje? Wanatofauti gani na wewe..hata wewe ni special ukiamua , usiendelee kukaa tu na kusema et kuna watu special, hata hao unaowadhani ni special waliamua kuwa special..kwa nini wewe usiamue kuwa special??
10: Sina bahati
hivi maendeleo ni kubahatisha?!mmhusibahatishe mambo, weka mipango na mikakati yako ya kutoka ( strategic plan)