Katuni ya Rais Magufuli iliyozua Gumzo

Tusubiri mishahara itapanda mwakani...
 
Hii
1480766513391.jpg
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kuna jamaa kaniuliza swali hili "kwanini unaikosoa serikali kila siku?" Nikasita kumjibu lakini Jibu langu lilikua hili "kwanini na wewe unasifia serikari kuliko unavyomsifia mkeo?"

Kuna aina 3 za kujibu swali... Mimi nimetumia ile aina ya tatu unajibu swali kwa swali.
 
Kuna jamaa kaniuliza swali hili "kwanini unaikosoa serikali kila siku?" Nikasita kumjibu lakini Jibu langu lilikua hili "kwanini na wewe unasifia serikari kuliko unavyomsifia mkeo?"

Kuna aina 3 za kujibu swali... Mimi nimetumia ile aina ya tatu unajibu swali kwa swali.
Watu wenye akili hutumia hiyo
 
Back
Top Bottom