Wazee mmeiona katuni ya kipanya leo kwenye gazeti la mwananchi ukurasa wa 6,ipo safi sana! Eti CHADUMAA wanazika tu watu kwa siasa zao zinazofanikiwa sana kwa sasa za umwagaji damu ya watanzania maskini na wenye uelewa mdogo
Panya na wewe lenu moja,fitina tu naajungu ndio mtajo wenu na hamna tofauti na Dovutwa
mtu akiihoji chadema, basi anafanya fitna na majungu eeh? kazi kweli kweli
hii ni hatari kama hamtaki chama chenu kihojiwe.
mtu akiihoji chadema, basi anafanya fitna na majungu eeh? kazi kweli kweli
hii ni hatari kama hamtaki chama chenu kihojiwe.
mboni sioni mlicho hoji hapo? Tofauti fitina za panya na aliyeweka post.
Mwambie aliyekutuma kuwa hatudanganyiiiiiiki...!!!!!
Wewe utakuwa Devota sijui dovuta yule konda wa ccm
Mwambie aliyekutuma kuwa hatudanganyiiiiiiki...!!!!!
anzia kwa baba harafu dogo,kwa baba hujamaliza waenda kwa toto,we vp hela za kuuza trekta bomu zimekulevya
Hajatumwa ipo gazeti la mwananchi kwani mkuu husomi magazeti?