Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,900
- 95,400
Mama GwajimaHuyu ambae ameshakabidhi ubongo wake ni kama dada Joy.
Ndungai anapiga makofi kushangilia tukio.Mama Gwajima
Na huyo anaemuabudu mfalme wa nchi ya majuha baada ya kukabidhi ubongo wake ni Gwaji boyHuyu ambae ameshakabidhi ubongo wake ni kama dada Joy.
Askofu Rashidi anaimba mapambio ya maajabu ya ndege 11 kuwepo katika ardhi ya Tanzania tangu mfalme wa Chattle awepo kwenye kiti cha enzi.Na huyo anaemuabudu mfalme wa nchi ya majuha ni Gwaji boy
Halafu pale nyuma anaekuja kwa Tabasamu tele kama Mr SlowHuyu ambae ameshakabidhi ubongo wake ni kama dada Joy.
Hehehehe 🤣🤣
Hawa akina Ndugai lazima "watamlazimisha" Jiwe aongeze muda. Whether Jiwe yupo nyuma ya hiyo scheme ama la it doesn't matter. Bunge wao watafanya kazi yao (ya kutunga sheria bila kuingiliwa na Mhimili mwingine) na kuongeza muhura kutoka miaka mitano mpaka saba. Then, mabeberu wanasemaga "the ball will be in Magufuli's court"Ndungai anapiga makofi kushangilia tukio.
Chadema ipi tena jamani nyie mataga si mlishasena mmeifuta chadema kabisa??Chadema mnatumika vibaya nawambia
Kagame amebadilisha katiba kabisa, term ya urais ni miaka saba na wapinzani hawana nafasi.Hawa akina Ndugai lazima "watamlazimisha" Jiwe aongeze muda. Whether Jiwe yupo nyuma ya hiyo scheme ama la it doesn't matter. Bunge wao watafanya kazi yao (ya kutunga sheria bila kuingiliwa na Mhimili mwingine) na kuongeza muhura kutoka miaka mitano mpaka saba. Then, mabeberu wanasemaga "the ball will be in Magufuli's court"
Hata akina Kagame na Mu7 walianzaga na swaga za kukataakataa..
Viwavi bavicha jua likitoka tuh metabolic activity inakua high mkuuChadema ipi tena jamani nyie mataga si mlishasena mmeifuta chadema kabisa??