MATHIAS KABYEMERA
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,793
- 572
Ni katuni yenye uhalisia.
Ndugu yangu, si ueze hizo sababu unazosema kupinga hoja niliyowasilisha? Jitahidi hata kutumia common sense japo unalipwa kufanya kazi ya hovyo ya team Lowasa II kufanya fujo mitandaoni.Wewe ndo hujui kinachoendelea.Umesoma sababu za hiyo cartoon kupata tuzo au na wewe ndo kilaza kama J?
Carrot and stick.. wana mpa zawadi yeye na mchoraji wake wa vibonzo.sio bure, wana mhujumu rais wetu..................hahaaaaa