katuni nyepesi kuchora mwaka 2017

kacnia

JF-Expert Member
Sep 16, 2014
3,851
15,105
wakuu nimefanya uchunguzi nikagundua kuwa ipo katuni ambayo haihitaji kuwa msanii ili uipatie ni kitendo tuu cha kufikiria na kuchora bila hata penseli
1154d7234c690a7abba528e71fcf536d.jpg
7399ffe6700bb01cd01dbd0a4a53a048.jpg
9200ad2bc8b5a1572f9c399b58e426c1.jpg


 
Kona kosa la kimitandao ambalo halikutajwa kwenye sheria iliyopitishwa, nadhani itasaidia kuua vipaji kama hiki!
 
wakuu nimefanya uchunguzi nikagundua kuwa ipo katuni ambayo haihitaji kuwa msanii ili uipatie ni kitendo tuu cha kufikiria na kuchora bila hata penseli
1154d7234c690a7abba528e71fcf536d.jpg
7399ffe6700bb01cd01dbd0a4a53a048.jpg
9200ad2bc8b5a1572f9c399b58e426c1.jpg




Huyu ni mwanafunzi wangu wa darasa la 2 anaitwa Juma ........Jana niliwapa wazo la kuchora mtu wanayempenda Zaidi ndipo akanicholea rais wetu. Dogo atakuwa na future nzuri sana kwa kutambua jitihada azifanyazo rais wetu.
 
Back
Top Bottom