Katuni bora ya mwaka

Malaika Mkuu

JF-Expert Member
Nov 5, 2014
901
907
1444589133160.jpg
 
Upo kidato cha ngapi? Maana toka mmejengewa hizo maabara zisizo na vifaa akili zenu zimezidi kudumaa..

Hujui yuko kidato kipi, umeassume na ku-conclude... Punguzeni mahaba muuone ukweli. Waliberali watawageuka..!
 
Kwa kufuata mkumbo vijana wataliangamiza taifa...! Maana mchuma janga hula na wakwao.
Taifa liliishaangamia,wanaangaika labda litafufuka.
mbona tunaitwa masiki unamaanisha siasa za
mkumbo ndo zimetufikisha hapo?

kama jibu ni ndiyo basi waliopo madarakani
wajiengue maana wamekosa kutupatia siasa safi
na hivyo watu wakaamua kufuata mkumbo.
 
Pumbavu sana huyu gamba mtoto asiyekuwa na kipaji cha kutumia lugha ya picha.
 
Taifa liliishaangamia,wanaangaika labda litafufuka.
mbona tunaitwa masiki unamaanisha siasa za
mkumbo ndo zimetufikisha hapo?

kama jibu ni ndiyo basi waliopo madarakani
wajiengue maana wamekosa kutupatia siasa safi
na hivyo watu wakaamua kufuata mkumbo.

Usahihi, taifa lililoangamia ni kama somalia, libya nk. Swali: Umetumia vigezo gani kujua kuwa hao unaowafuta watalifufua taifa?
Lowasa amekuwa sehemu ya matatizo ya nchi hii pamoja na Sumaye, Kingunge na co. Duni haji alikuwa waziri wa afya wa SUK Zanzibar, akashindwa. Leo ndo tunasema tuwape dhamana? Hivi kweli tuna vigezo au tunafuata mkumbo.Tatizo la vijana wanafikiri eti chadema watamdhibiti lowasa, hakuna mwenye mamlaka ya kumdhibiti amir jeshi mkuu.
 
Usahihi, taifa lililoangamia ni kama somalia, libya nk. Swali: Umetumia vigezo gani kujua kuwa hao unaowafuta watalifufua taifa?
Lowasa amekuwa sehemu ya matatizo ya nchi hii pamoja na Sumaye, Kingunge na co. Duni haji alikuwa waziri wa afya wa SUK Zanzibar, akashindwa. Leo ndo tunasema tuwape dhamana? Hivi kweli tuna vigezo au tunafuata mkumbo.Tatizo la vijana wanafikiri eti chadema watamdhibiti lowasa, hakuna mwenye mamlaka ya kumdhibiti amir jeshi mkuu.
Mkuu haya ni mawazo ya chama tawala,ambapo amri jeshi ndo mwenyekiti wa chama.
alafu ukumbuke katiba ya wananchi ilipendekeza mamlaka ya rais yapunguzwe,mkaipoka!
Na hilo ndo tutaanza nalo.Mawazo ya kizamani kamwe hayana nafasi kwenye ulimwengu wa mabadiliko.

EL,Sumaye na Kingunge wamebadilika ndo maana wapo upande wa mabadiliko
waliobaki bado wana mawazo ya zidumu fikira za mwenyeki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom