Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 477
- 1,065
Habari zenu wakuu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma kwangu.inaonekana x wake alikuwa anammind kwa kuolewa na mimi sms yake aliyoituma kwangu ni kujitetea kuwa mimi nilipita short kati hadi kwa wazazi wake bila kumshirikisha yeye.
Hivyo yeye alilazimishwa na wazazi wake. Imeniuma sana ukizingatia kuwa mimi nilimfuata yeye kwanza na kwa wazazi wake tumeenda mwaka huu nimeanza kuishi nae mwaka 2019 naombeni ushauri wenu wakuu.
NB Ana unauzito ambao mimi nilichangia mbegu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma kwangu.inaonekana x wake alikuwa anammind kwa kuolewa na mimi sms yake aliyoituma kwangu ni kujitetea kuwa mimi nilipita short kati hadi kwa wazazi wake bila kumshirikisha yeye.
Hivyo yeye alilazimishwa na wazazi wake. Imeniuma sana ukizingatia kuwa mimi nilimfuata yeye kwanza na kwa wazazi wake tumeenda mwaka huu nimeanza kuishi nae mwaka 2019 naombeni ushauri wenu wakuu.
NB Ana unauzito ambao mimi nilichangia mbegu.