Mzinza wa town
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 347
- 368
Usiku wa kuamkia leo umeme wenu Tanesco umekuwa ukikatika katika na kupelekea vifaa vyetu vingi vya umeme kuungua. Nashangaa Tanesco hata hamjaomba radhi na hapa nna machungu TV yangu nimenunua kwa gharama kubwa inaniuma. Tanesco mmezingua