HALI ilivyo ni kuwa upo uwezekano mkubwa chini ya CCM Zanzibar isiyo na mwelekeo wala visheni ya kule visiwa vinavyokotakiwa kuwa baada ya 2015....sasa wanazua jambo juu ya jambo.
Nalo sio jingine ila lile la uwezekano wa kuwa na the Karume aristocracy in Zanzibar. Hivi tunahitaji tena uongozi wa kina Karume kweli visiwani. Na akingia Hali hii basi itakuja Hali ya Wajukuu wa Mzee Abedi nao kuwa maraisi na vitukuu wao na hili ndio sera ya serikali ya mapinduzi.
Wazanzibari wenzangu, ndugu zangu, wandani wangu haiwezekani kuwa na demokrasia ya kweli visiwani kwa sababu kwanza kuna kitu haramu ambacho kiko katika katiba. Nacho sio kingine ila ni kile kinachoitwa Baraza la Mapinduzi.
Bila baraza hilo kufutwa kikatiba sio rahisi kwa ujinga tuliokuwa nao Zanzibari kuhimili vishindo vya kushinikizwa na bara na viongozi wa visiwani wasiokuwa na sifa wala uwezo wa uongozi kuwa ndio viongozi wetu. Hili linafanyika wakati nusu ya Wazanzibari wenye uwezo wa uongozi mara 10 ya uwezo wa kina Karume wanatengwa kisiasa chini ya huruma, ulinzi na rehema ya CCM bara.
Nalo sio jingine ila lile la uwezekano wa kuwa na the Karume aristocracy in Zanzibar. Hivi tunahitaji tena uongozi wa kina Karume kweli visiwani. Na akingia Hali hii basi itakuja Hali ya Wajukuu wa Mzee Abedi nao kuwa maraisi na vitukuu wao na hili ndio sera ya serikali ya mapinduzi.
Wazanzibari wenzangu, ndugu zangu, wandani wangu haiwezekani kuwa na demokrasia ya kweli visiwani kwa sababu kwanza kuna kitu haramu ambacho kiko katika katiba. Nacho sio kingine ila ni kile kinachoitwa Baraza la Mapinduzi.
Bila baraza hilo kufutwa kikatiba sio rahisi kwa ujinga tuliokuwa nao Zanzibari kuhimili vishindo vya kushinikizwa na bara na viongozi wa visiwani wasiokuwa na sifa wala uwezo wa uongozi kuwa ndio viongozi wetu. Hili linafanyika wakati nusu ya Wazanzibari wenye uwezo wa uongozi mara 10 ya uwezo wa kina Karume wanatengwa kisiasa chini ya huruma, ulinzi na rehema ya CCM bara.