pichuwanyi
Member
- Jan 13, 2011
- 21
- 7
- Thread starter
- #41
Nashukuru kwa mawazo yenu, japo mingine ya kejeli na lawama, ila ninachoamini mimi siyo kila mimba basi ni lazima izaliwe bali kwa maisha ya sasa yahitaji utayari wa kila kitu ili hicho kiumbe kisije pata tabu za dunia hii na sii kujaza dunia kwa kua dunia haiwezi jaa kamwe. Ni dhambi na Aibu kwa aliye na imani hiyo ila kwangu bado ni jambo sahii kwa sasa, kinachonitatiza ni huyo dr kumuaproach mamsup kimapenz jambo ambalo kwa mwanaume yeyeto aliye mzinzi au asiyetaka familia kubwa kama mm LAWEZA mkuta.