pichuwanyi
Member
- Jan 13, 2011
- 21
- 7
Wakubwa heshima mbele,
Hivi karibuni mchumba wangu alipata ujauzito bahati mbaya baada ya kutokea interuption kwenye normal cycle yake, na kwa kuwa hatujajiandaa kulea kwa sasa ikabidi twende kwa mtaalamu ili ikiwezekana itolewe, tulimpata na akakubali baada ya kutuhoji na kujua nia yetu kufanya vile.
Tukaelewana gharama, siku, na muda, ndipo nikamsindikiza mamsup kwenda ku-abort niliambiwa nisubiri (waiting room) then baada ya saa 1 na nusu watarudi, na waliporudi mamsup alikua hoi,
Hivi karibuni mchumba wangu alipata ujauzito bahati mbaya baada ya kutokea interuption kwenye normal cycle yake, na kwa kuwa hatujajiandaa kulea kwa sasa ikabidi twende kwa mtaalamu ili ikiwezekana itolewe, tulimpata na akakubali baada ya kutuhoji na kujua nia yetu kufanya vile.
Tukaelewana gharama, siku, na muda, ndipo nikamsindikiza mamsup kwenda ku-abort niliambiwa nisubiri (waiting room) then baada ya saa 1 na nusu watarudi, na waliporudi mamsup alikua hoi,