Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
Tutafakari wizara ya TAMISEMI na usanii wake kwa uchache:
1. Waziri wa TAMISEMI ameishia wapi na Wakurugenzi walionununua magari ya bei kubwa kuliko?
2. Kwenye ajira za walimu 8000, usanii ulikuwa mwingi tu.
3. Na bado vijana wanaambiwa ajira 5000 zinakuja. Mpaka mheshimiwa rais amezitaja, Ila wao wapo kimya.
4. Kwenye ishu ya kuchapa viboko watumishi na raia hataa! wamekaa kimya tu.
5. Ujenzi wa madarasa wa kila mwaka kwa nini? Wangeweza kufanya estimation/prediction wakajenga madarasa ya kukidhi wanafunzi kwa miaka 5.
NB: Wizara hii imejaa wasanii na usanii.
1. Waziri wa TAMISEMI ameishia wapi na Wakurugenzi walionununua magari ya bei kubwa kuliko?
2. Kwenye ajira za walimu 8000, usanii ulikuwa mwingi tu.
3. Na bado vijana wanaambiwa ajira 5000 zinakuja. Mpaka mheshimiwa rais amezitaja, Ila wao wapo kimya.
4. Kwenye ishu ya kuchapa viboko watumishi na raia hataa! wamekaa kimya tu.
5. Ujenzi wa madarasa wa kila mwaka kwa nini? Wangeweza kufanya estimation/prediction wakajenga madarasa ya kukidhi wanafunzi kwa miaka 5.
NB: Wizara hii imejaa wasanii na usanii.