Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
Hawa ni viongozi muhimu sijapata ona
Ni pale tuu nilipokutana na mzungu mmoja anayetaka kuanzisha shule za chekechea Tz
Huyu mzungu alinifurahisha sana kwa kusema laiti uongozi huu wa CDM ungelikuwepo madarakani kipindi hiki
Amekaa Tz almost 9 years anasema upinzani anaouona Tz kwa sasa ni mabadiliko mazuri mno yanayopaswa kuigwa
Amesifu uongozi wa CMD uko imara mno na wavumilivu
Amesema tukiweza kuvuka vita ya mafisadi na kuipa nchi uongozi madhubuti kama wa cdm Tz itakuwa mbali
Amesema alipogusia suala hili la chekeshea alipitia wakati mgumu sana
Kila ofisi alikutana na mkono wa rushwa hatimaye alikataa tamaa kabisa na kurudi nyumbani
CCM ni chama cha kifisadi sana kinajulikana ndani na nje ya nchi
CCM sasa hivi wanahaha maana uongozi wa cdm umekuwa imara mno
CDM ndo chama pekee kitakacho ikomboa Tz kwenye huu umaskini uliotukuka
Mungu ibariki cdm Mungu ibariki Tanzania.
Ni pale tuu nilipokutana na mzungu mmoja anayetaka kuanzisha shule za chekechea Tz
Huyu mzungu alinifurahisha sana kwa kusema laiti uongozi huu wa CDM ungelikuwepo madarakani kipindi hiki
Amekaa Tz almost 9 years anasema upinzani anaouona Tz kwa sasa ni mabadiliko mazuri mno yanayopaswa kuigwa
Amesifu uongozi wa CMD uko imara mno na wavumilivu
Amesema tukiweza kuvuka vita ya mafisadi na kuipa nchi uongozi madhubuti kama wa cdm Tz itakuwa mbali
Amesema alipogusia suala hili la chekeshea alipitia wakati mgumu sana
Kila ofisi alikutana na mkono wa rushwa hatimaye alikataa tamaa kabisa na kurudi nyumbani
CCM ni chama cha kifisadi sana kinajulikana ndani na nje ya nchi
CCM sasa hivi wanahaha maana uongozi wa cdm umekuwa imara mno
CDM ndo chama pekee kitakacho ikomboa Tz kwenye huu umaskini uliotukuka
Mungu ibariki cdm Mungu ibariki Tanzania.